Mung Chris
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 3,367
- 3,778
Maafisa Uhamiaji wakike huongoza kutoa huduma nzuri zaidi ya Wanaume kwanini.
Hili nimelionana nimeshuhudia Ma ofisini, Mipakani na Airports pia nimewasikiliza wenzangu wakizungumza pia kwamba wanawake ma Afisa uhamiaji ni wakarimu sana na wanakupokea vizuri mnazungumza kama kuna kitu hakija kaa sawa wanakuelekeza na hata mapokezi pia. Il ahawa wanaume dah hata sielewi yan akikuona tu labda anadhan ww ni dili.
Mlio shuhudia mje mtupe experience yenu pia.
Hili nimelionana nimeshuhudia Ma ofisini, Mipakani na Airports pia nimewasikiliza wenzangu wakizungumza pia kwamba wanawake ma Afisa uhamiaji ni wakarimu sana na wanakupokea vizuri mnazungumza kama kuna kitu hakija kaa sawa wanakuelekeza na hata mapokezi pia. Il ahawa wanaume dah hata sielewi yan akikuona tu labda anadhan ww ni dili.
Mlio shuhudia mje mtupe experience yenu pia.