nape alonga.. Si kweli kwamba eti wamepeleka maadhisho mwanza kwasababu ya majimbo waliyopoteza..bali ni muda mlefu hawajapeleka.
Naona kama kawa watu wachache wengi ni watoto sioni, hata ikipigwa hoyeeeeeeeeeeeee naona anjibu mtu mmoja, kwa kweli ccm wamefulia mbaya. Hata tv inaonyesha eneo moja tu.
Na huu ni mwanzo tu, kazi inogile kutukabidhi nchi yetu. Mkwer.e navyomfahamu anapenda sana population ila kwa watu kama hawa najua atanuna sana.
wapeleke Arusha waone moto
Jamaa naona kaota matiti aka gynacomastia hii huwa ni side effect mojawapo ya kula kuku wa kisasa, lakini pia ni side effect ya use of ARVs jamaa sinsikia ni candidate wetu au ni bullet proof
mwenyeketi wa mwanza analalama kwanini hamna shangwe kwa kikwete.