zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,216
Narudia tena Kauli yangu,Maadhimisho haya. Ya miaka 50 ya uhuru...ni genge la watu fulani kufanikisha wizi wao...
Watu wamenunua magari
Watu wamejenga manyumba
Wameongeza mifugo
Wamelipia ada watoto wao wanaosoma majuu.
Kama gharama za maadhimisho hayo ni Zaidi ya Bil.50.
Wakati Riz1 kwenye fbk anashangaa kuwa ni bil 24,Hii haingii akilini.
Watoto wa alaiki walipewa kila 1 tsh laki moja.
Police,magereza na jwtz walipewa ngapi.
Yangu Macho.
Watu wamenunua magari
Watu wamejenga manyumba
Wameongeza mifugo
Wamelipia ada watoto wao wanaosoma majuu.
Kama gharama za maadhimisho hayo ni Zaidi ya Bil.50.
Wakati Riz1 kwenye fbk anashangaa kuwa ni bil 24,Hii haingii akilini.
Watoto wa alaiki walipewa kila 1 tsh laki moja.
Police,magereza na jwtz walipewa ngapi.
Yangu Macho.