miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,821
- 48,976
Mkuu kwa nini?Shemeji leo umeniangusha. Ebu edit hii comment yako pls....
Mkuu kwa nini?Shemeji leo umeniangusha. Ebu edit hii comment yako pls....
Only if you entertain her too muchMkuu gharama yao ni kuivuruga ndoa yako na kuachwa njia panda
Wakiviona vinanuka jasho wanaona havina madhara kumbe men wengine wanapenda huto tuharufu wanaita natural.
Wanaume wana saikolojia za ajabu sana. Sio wote wanapenda kwenye sura nzuri ukimletea kabayaa anaapa kukala Mara moja
Beki 3 akifunguliwa mlango tu .... huja juu kama maza hausi .... hapo ndo mwanzo wa kesi maza hausi akilalamika h/girl anambenulia midomo na dharau kibao ....Only if you entertain her too much
That's not the message concerned. Kwani wewe umenipongeza kwa sababu gani?Wasema cjaielewa msg yako .... alright that over there is the msg concerned .... tafadhali nieleweshe nielewe
" ......ndoa ni nwanamke 150% ukifunga jicho kidogo tu ndoa huna" ......Hongera ya nini mamii
Ma bek 3 anakusoma so muonyeshe clear nani ni mother house na nani ni mchepuko.Beki 3 akifunguliwa mlango tu .... huja juu kama maza hausi .... hapo ndo mwanzo wa kesi maza hausi akilalamika h/girl anambenulia midomo na dharau kibao ....
Sidhan kama kuna h/girl anaependa aendelee kuitwa hivyo .... nao wanataman privilege ya kuwa mamaza hausi .... so kosa dogo magoli 100
Umesoma post nzima na kuielewa? Au umenyofoa tu hako ka kipande ndo unakomaa nako kunipongeza" ......ndoa ni nwanamke 150% ukifunga jicho kidogo tu ndoa huna" ......
hiyo ni sehemu ya msg yako .... nami nikakupongeza kwa kipande hicho mana umeonesha uelewa ni namna gani mwanamke ana play a very big role ama kuilinda ndoa yake au kuivunja .... sasa nieleze je bado ckupaswa kukupongeza?
By the way ww ukatumia neno "mamii" ktk msg yako ukini- address mie ..... na ndo nkakujibu pia mie ni dume na c "ke" .... naamin utakuwa ushanielewa
Nimeipenda hii kwenye mijitu, dharau ndo inakoanzia!!!Nyie wanaume na nyie mmezid tu wala hamna lolote mnapenda kutafuta visabb visivyo na mbele wala nyuma mwanaume kuweka dudu yake zaid ya mwanamke mmoja ni hulka yenu hamna cha uhouse girl wala nini mbona house boy anafanya kaz zaidi ya baba nawanawake hawashawishiki kutembea nao mxiuuuu. Mshazidi kusingizia wanawake hamtak kujikubali ndio mlivyo. Mijitu yenyewe siku hz mnataka mwanamke anayejishughulisha bado mnataka na kazi zote ndan afanye yy
Kama ulikuwa unafahamu kunakutesana nini kilikupeleka kwenye ndoa?Unahis kuwa mtumwa ndan ni fursa???
Hiyo fursa inaniingiza kipato gani zaid ya kutesana?? Maana kama ntaenda tafta pesa na kurudi Hom tena nifanye kaz za ndan mwanaume kakaa tu kama kigogo si kutesana huko
Funguka madam mwaj .... je ww si muhanga wa hili janga?
Job description, terms & conditions kwa house girl .... si mchezo nmeipenda hiyo ....Housegirl hajawahi hata kumsevia tu chakula mezani! ratiba yangu, jumatani(jioni)& jumapili asubuhi nafua ngui zangu na za King!, nazinyoosha freshh tunanyoosha naye, kama nipo msosi nampa mimi sipo anajichotea mwenyewe dada ni marufuku, chumbani hajawahi kuingia hata mtoto akilia, hajuagi hata kitanda kikoje upooo
naona amekuwa mtata hadi ukanyoosha mikonoUcjal .... yaishe mana c ugomvi
nakuelewa sana mkuu busy beesyaan ... nmejitahd kumuelewesha but imeonekana kama hatutakuja kamwe kufikia consensus ....
afu mie hupenda sana kujishusha hata kama niko sahihi ...
Post nimepost mimi halafu wewe unieleweshe? Yani unanielewesha kuhusu post yangu mwenyewe? Mimi nakuelewesha kuwa hujaielewa post yangu ndo maana nimekataa pongezi zakoUcjal .... yaishe mana c ugomvi