Ma house girl wa kisasa ni shida...

Hao dawa yao ni ndogo. Mie nilikutana na wa aina hiyo nikablock line kwa kuweka password kisha nikaitia sim kwenye maji. Pambaf zake akawa mdogo. Then nikamnunulia cm ya mezani. Anaitumia mpaka leo.

Kama hukumuonya aache kutumia simu muda wa kazi basi umemuonea unaweza pandikiza chuki ndani yake na akiamua kujibu mapigo utaumia wewe.
Mkanye,muonye ha kumuelekeza waweza pia.
 
Changamoto kibao maisha haya..,,
kiukweli natamani simu yake ni isage.

Hatakua makini na kazi.

Mkuu ndo dot com yenyewe hiyo! Yaani hii ni watoto wote wa siku hizi wako hivyo Mkuu mpaka hata maofisini ni yale yale! Hizi simu zimekuja kutukwaza tu, afadhali yalivyokuwa maisha yetu ya wakati ule!!!
 
Mbona wewe unakuwa na simu yako muda wote,kwa nini kwake iwe vibaya!
Kama anatekeleza majukumu yake kwa ufasaha,kuwa na simu si vibaya.
 
.., sasa ana chat na nani..??

Na mimi nina shida kweli ya HG.

NIMPOKONYE CM? Ili ausome msimamo wangu frm the start. Kwamba si entertain nonsense..??
changu kuja tu kina kicm chake. kinapigiwa saa zote. kinaongea kwa sauti na kuchekacheka kwenye cm..yaani ni shiiida. natamani kumwambia wife akirudishe..
 
Hao dawa yao ni ndogo. Mie nilikutana na wa aina hiyo nikablock line kwa kuweka password kisha nikaitia sim kwenye maji. Pambaf zake akawa mdogo. Then nikamnunulia cm ya mezani. Anaitumia mpaka leo.

Hapo naona kama kuna ka dalili ka unyanyasaji hivi, Kutumbukiza simu ya mtu kwny maji.....!!
 
Nimempata mmoja ths moment.. Yuko na cm yake like hawezi iacha..

Hana hata aibu mbele yetu. Ths is hard.

Jamani kama mlishakutana na hali kama hii.., mlifanya nin?

kwa hiyo shida ni kuwa na simu mbele yenu au kuna lingine? Unataka akiwa mbele yenu aone aibu kutumia simu? Kama unaona yeye kuwa na simu ni tatizo kwako Kwa nini usiongee naye kwanza uone kama atabadilika badala ya kuanza kuomba msaada JF?
 
kwa hiyo shida ni kuwa na simu mbele yenu au kuna lingine? Unataka akiwa mbele yenu aone aibu kutumia simu? Kama unaona yeye kuwa na simu ni tatizo kwako Kwa nini usiongee naye kwanza uone kama atabadilika badala kabla ya kuanza kuomba msaada JF?

sijaja bure hapa,,., i had to seek for approach...
 
sijaja bure hapa,,., i had to seek for approach...

inaonekana ndio mara ya kwanza kukaa na house girl. Kuishi nao yataka moyo.
Anyway continue to seek for approach but at the end changanya na zako mana kila mtu anachangia hoja kulingana na uzoefu wake.
 
Hao dawa yao ni ndogo. Mie nilikutana na wa aina hiyo nikablock line kwa kuweka password kisha nikaitia sim kwenye maji. Pambaf zake akawa mdogo. Then nikamnunulia cm ya mezani. Anaitumia mpaka leo.

Duh Unamnyanyasa hivyo halafu uhai na usalama mtoto/watoto wako upo mikononi mwake hasa ukizingatia anashinda nao muda wote. Jitafakarini sana.
 
Anza kutafuta mwingine taratibu.............(haswa kama huyo umempata kwenye makampuni au umeletewa na mtu kijijini)

Nilipata Hausigelo ana tachiskrini na ule mwonekano wake nikajua huyu sio wa kukaa, ila majaribio nikampeleka kwa Mama kwanza..... Baada ya kufika kule kuona geti lilivyo kali siku ya 3 akaaga nikamrudisha alikotoka

Halafu walivyowasanii muulize unataka mshahara kiasi gani atakujibu "sijui"
Una mipango gani ya baadae...jibu "sijui"

Kila swali "sijui" (ili aonekane wakuja kweli)
 
Aisee nimekaa sehemu kwa miezi 3 sikujua haka kabinti ni kasaidizi ka kazi,kwa namna wanavyoishi nako.Nimejua juzi tu hapa.Tatizo ni kwamba tulio wengi tunawachukulia tofauti watoto wa watu hawa.
 
Kama wewe ni mwanaume ndio unamfatilia huyo housekeeper hapo nyuma kiasi hiki mpaka unamuundia thread humu jamiiforum sipati picture huyo mwanamama atakuwa ameenda umbali gani mda huu.

Naye ni binadam kama wewe mpe uhuru japo analolifanya lisiwe ovu ila kushika simu sio big deal mbona wewe unatumia.

Mkiwapelekesha sana ndio wanawanywesha mikojo mate ukatili kwa watoto na mambo mengine maovu.
 
Hivi nyinyi mnatulipa mshahara shilingi ngapi mpaka mtunyime Uhuru wa kuchati na simu zetu, mbona nyinyi hatuwasemi siku hizi ufanisi wa kazi maofisini mwenu umeshuka mda wote mnashinda mnachati na misimu yenu hiyo sijui mnaiita smartphone, acheni unaa huu ulimwengu wa kisasa ni wetu wote bila kujali kazi zetu.
 
Hivi nyinyi mnatulipa mshahara shilingi ngapi mpaka mtunyime Uhuru wa kuchati na simu zetu, mbona nyinyi hatuwasemi siku hizi ufanisi wa kazi maofisini mwenu umeshuka mda wote mnashinda mnachati na misimu yenu hiyo sijui mnaiita smartphone, acheni unaa huu ulimwengu wa kisasa ni wetu wote bila kujali kazi zetu.

dkh.dkh duh duh,

ok..,
 
Anza kutafuta mwingine taratibu.............(haswa kama huyo umempata kwenye makampuni au umeletewa na mtu kijijini)

Nilipata Hausigelo ana tachiskrini na ule mwonekano wake nikajua huyu sio wa kukaa, ila majaribio nikampeleka kwa Mama kwanza..... Baada ya kufika kule kuona geti lilivyo kali siku ya 3 akaaga nikamrudisha alikotoka

Halafu walivyowasanii muulize unataka mshahara kiasi gani atakujibu "sijui"
Una mipango gani ya baadae...jibu "sijui"

Kila swali "sijui" (ili aonekane wakuja kweli)

Interesting, hawa watu nimeanza ishi nao kitambo. Hakika sintomshindwa.

Ana tecno.
 
Back
Top Bottom