umekosa kumbuka jirani alikupa 10000 ya chenji.D
Mkate wa dogo. 2000
Chenchi uliompa dogo 8000
Hela uliomrudishia duka jiran 10,000
Jumla hasara 20,000
sent from iPhone 7+ using jamii forums mobile app
Hio 8,000 sio ya mwenye duka ni ya kule alipoomba chenchi.D
Mkate wa dogo. 2000
Chenchi uliompa dogo 8000
Hela uliomrudishia duka jiran 10,000
Jumla hasara 20,000
sent from iPhone 7+ using jamii forums mobile app
Na elfu 10 aliyoirudisha alipoenda omba cheji je?C. Mkate(2000) na chenji (8000) jumla shilling 10000
Kwani neno genius linatumika wapi? Nawewe umeelewaje?Sasa hiki ulichokiandika kina connection gani na neno lako la ' Genius ' ulilolitumia katika headline yako? Hebu tulitendee haki basi hilo neno ' Genius ' kwani kwa siku za hivi karibuni naona Watu tunalitumia ndivyo sivyo na sehemu isiyostahili kabisa. Ukiangalia kwa umakini kabisa maana nzima ya neno ' Genius ' ni tofauti na unavyotaka kutulazimisha kuwa ndivyo ilivyo.
Na ule mkateHasara ni 10000 mbona rahisi sana kwani jirani asinge gundua yeye ndo angepata hasara ya 10000
Sent using Jamii Forums mobile app
Unakujakuja kwenye ukweliHasara ni 10000 mbona rahisi sana kwani jirani asinge gundua yeye ndo angepata hasara ya 10000
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ndo kilaza jibu ni c fikiria vizuriWote mliojibu tofauti na A ni vilaza mliopo hai...
Kwanza somo la hesabu lenyew nilipata F hata hapa nmejitahidimkate
D, 2000 ya mkate, 8000 chenji ya mteja na 10000 feki jumla 20000
Na ile 10,000 uliyomrusishia Jirani yako baada yakumpa fake?Hasara ni 10000.
Yani ni sawasawa mtu aje akupe 10000 feki yani haina thamani yani sawasawa hajakupa kitu halafu wewe unampa 8000 na mkate wa 2000 bure.
Inamaana umepata hasara ya 10000.
Simple.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mteja alipata profit 10000 ,8000+2000mkate, jiran alirudishiwa 10000 ile ile, mwenye duka ndo kalizwa buku 10000
Mteja alipata profit 10000 ,8000+2000mkate, jiran alirudishiwa 10000 ile ile, mwenye duka ndo kalizwa buku 10000
Sent using Jamii Forums mobile app