Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,150
Najua hili lipo na yawezekana uko hum ndani embu tuelekezeni tatizo sugu la hili swala..tunaona wenzenu wkenye vtv wanalalamika tatizo bila kutaja sorce na litaishaje..embu ukiwa kama mbunifu maana kudesampaka uprof si kitoto tusaidien na je mnavyoona linawezekana kumalizika ama wanapoteza muda kujazana kwenye kumbi za mitihani..tueni na jinsi mlivyokua mkifanya mpaka mkafika hapo!!!!wachilia mbali ma DK wetu feki wanaojulikana wewe uliefika mpaka....na yamkini waweza ukawa unafundisha.....
nakumbuka nikiwa engineering tunapiga paper alukuja prof mmoja mnoko sana anaitwa prof mayo huy mzee aliwakatisha maisha ya wengi sana sna wakafikia kumwiba mwanae mpaka atoe majibu mzee wa watu akayoa majibu ambayo mpaka sanate aikuamini Maji imekamata 5.huyu mzee alikuwa anaanda ikarusi lake kila mwaka kama jamaa mmoja mhaya wa computer enzi hizo....mzee akaambiwa tangaza matokeo mtoto unampata YAKATOKA akaambiwa mwanao yuko lodge fulan...
so kuna mambo kama haya yanafanya mtu unatumia extra miles kufanikiwa mitian mfano huyu mtu alikuwa anaondoka na si chini ya vichwa 40-50 na senate wakimlalamikia anajitetea ..na ukikuta disco nyingi kawamaliza yeye...
so kuna Wengine waanahamu ya kuelewa na kujitegemea kwenye mitiahaN lakini baadhi ya walimu wanwafanya wawe SUPER MODELLING ON DESARING...huyu mwalimu alikuja kusimamia somo fulani tukakaa gorofani jamaa akaona mbona jamaa amekomaa akatupa karatasi chini jamaa akashuka fasta ...kufika chini anakuta ujumbe acha kukomaa wote tunapita tuangalie wadogo zako..alikaa kama dk 25 watu awakuamini akaja dk za mwisho akakusanya mitihani yaker...uliza umo ndani hatari tupu......desaa desaa deswaa wanadada zile nguo za ndani zinafunguliwa mtu kapiga paper nzima kwenye underdress ...kama tangazo la ZAIN...akuna aliefeli..so walimu nao waangalie hili swala ....
nakumbuka nikiwa engineering tunapiga paper alukuja prof mmoja mnoko sana anaitwa prof mayo huy mzee aliwakatisha maisha ya wengi sana sna wakafikia kumwiba mwanae mpaka atoe majibu mzee wa watu akayoa majibu ambayo mpaka sanate aikuamini Maji imekamata 5.huyu mzee alikuwa anaanda ikarusi lake kila mwaka kama jamaa mmoja mhaya wa computer enzi hizo....mzee akaambiwa tangaza matokeo mtoto unampata YAKATOKA akaambiwa mwanao yuko lodge fulan...
so kuna mambo kama haya yanafanya mtu unatumia extra miles kufanikiwa mitian mfano huyu mtu alikuwa anaondoka na si chini ya vichwa 40-50 na senate wakimlalamikia anajitetea ..na ukikuta disco nyingi kawamaliza yeye...
so kuna Wengine waanahamu ya kuelewa na kujitegemea kwenye mitiahaN lakini baadhi ya walimu wanwafanya wawe SUPER MODELLING ON DESARING...huyu mwalimu alikuja kusimamia somo fulani tukakaa gorofani jamaa akaona mbona jamaa amekomaa akatupa karatasi chini jamaa akashuka fasta ...kufika chini anakuta ujumbe acha kukomaa wote tunapita tuangalie wadogo zako..alikaa kama dk 25 watu awakuamini akaja dk za mwisho akakusanya mitihani yaker...uliza umo ndani hatari tupu......desaa desaa deswaa wanadada zile nguo za ndani zinafunguliwa mtu kapiga paper nzima kwenye underdress ...kama tangazo la ZAIN...akuna aliefeli..so walimu nao waangalie hili swala ....