Ukana Shilungo
JF-Expert Member
- Apr 17, 2012
- 3,041
- 2,422
Jana tarehe 7 Kassim majaliwa alikuwa Mnacho kijiji alichozaliwa kuwasihi Wanainchi kutopokea M4C,aliandaa ngoma akasema anakuja saa 5 au saa 7 lakini alikuja saa 12 na nusu jioni,wazee maarufu kama Ngango'la na Chinunje walikasirika mno kuchezewa akili na kijana mdogo kwao,kifupi alitoka Dsm kuwashawishi watu wa Ruangwa kutopokea M4c,kifupi kachelewa hakubaliki hata ndani ya nyinyiem jimboni,kashindwa kutimiza ahadi hata kijijini alipozaliwa yaani Mnacho Nandagala,kesho toka saa 8 mchana Slaa Dr atakuwepo,kumwaga elimu ya ukombozi kwa wamwera wenzangu wa Mnacho nilipozaliwa,kifupi watu wana hamu ya kusikia na kujivua gamba.Nitasafiri kesho kwenda kijijini nilipozaliwa na kesho nitawapatia habari kwani watu wa pale hawana access ya net,rumovement for change karibu nyumbani Ruangwa kijiji cha Mnacho Nandagala AKA Arusha.
Source ni Mjombaangu kiongozi wa Chadema hapo Mnacho anaitwa Son,nawasilisha UKANA SHILUNGO.
Source ni Mjombaangu kiongozi wa Chadema hapo Mnacho anaitwa Son,nawasilisha UKANA SHILUNGO.