Precise Pangolin
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 12,998
- 6,659
Kule kugumu, wanapenda sehemu laini laini.....umewahi ona wapi mchaga anayependa shida??
Absolutely....
Siku nyingine una akili wewe??
Ni kweli hatupendi shida ndio maana pia hatuipendi CCM inayoendelea kutupa shida watanzania. Hao Wagumu wanapenda shida, wanaendekeza shida wanaishi kwenye shida lakini HAWANA SHIDA...Ndio maana tangu nakua naisikia barara bara ya Kibiti Lindi Miongoyo then nakaribia kuzeeka bado hakija eleweka. Wavue gamba wanalokumbatia walau kwa miaka mitano tuone kama shida hazitapungua...Sipendi shida ndio maana sipendi anayeniletea shida!! ndio maana nimevua gamba nivae gwanda....Upo??
Ona huko kunakoitwa kusini!
ccm wanajivunia ujinga wa wapigakura wa ukanda huu.
Kule kugumu, wanapenda sehemu laini laini.....umewahi ona wapi mchaga anayependa shida??
Si waende pia kwenye jimbo la Shibuda au wanamwogopa?
Si waende pia kwenye jimbo la Shibuda au wanamwogopa?
Jana Aliyekuwa Mbunge wa Arusha Mjini G lema na makamanda wengine wamefanya mkutano mkubwa wa hadhara katika jimbo la Chato na kupokea wanachama na Makada muhimu wa CCM na wakati wanarejea safarini kurudi Mwanza gari lao liolizuiwa njiani pale Katoro na wananchi akiombwa kufanya mkutano hapo lakini alisema isengewezekana kwani kibali kilikuwa hakuna , hata hivyo makamanda leo wanaelekea ,Magu ambapo kutakuwa na mkutano mkubwa wa hadhara "vua Gamba Vaa Gwanda"
Lema ndio kaandika mwenyewe
Hebu nitajie kwingine
Si waende pia kwenye jimbo la Shibuda au wanamwogopa?