Mimibaba
JF-Expert Member
- Jul 1, 2009
- 4,557
- 1,291
Nasisitiza mkishakuwa na combat mission vifo vinakuwa sehemu ya mkakati. Kua uyaoneHauwezi ku justify kifo cha askar wetu kwa Vifo vya Askari wa M23.
Huu ni zaid ya uchawi aisee
Nasisitiza mkishakuwa na combat mission vifo vinakuwa sehemu ya mkakati. Kua uyaoneHauwezi ku justify kifo cha askar wetu kwa Vifo vya Askari wa M23.
Huu ni zaid ya uchawi aisee
Hakuna shida watawalipa dolas.
nahisi ni kweli, juzi nilikuwa na mtu mmoja alitoka rwanda, inasemekana wanajeshi wengi wtz wamekufa hoko congo,ila ipo under carpet. na hawapo chini ya UN walipelekwa kinyemela kusaidia jeshi la congo. ndo hilo hasa limerecandle misiunderstanding kati ya Kagame na mh. km kuna mwny info km hzo plz!Kuna jamaa mmoja wa m23 aliandika kwenye mitandao kuwa, wanajeshi wa JWTZ wamekufa wengi tu, alipotoa hiyo taarifa, hawa UN walikuwa bado hawajaeleza kama kuna mwanajeshi yeyote amekufa...
Haya maswala yananitia shaka sana. Sidhani kama kuna swala la muhimu sana linalotupelekea tukapigane vita huko zaidi ya kimbele-mbele tu kinachotupeleka huko....
Umefika wakati kila mtu abebe msalaba wake na sio kutwishana misalaba isiyokuwa na mbele wala nyuma. Mimi naamini, kwa tabia ya viongozi wetu ya kuficha-ficha mambo, unaweza kuta JWTZ wengi tu wanauliwa huko lakini watu wapo kimya tu...
Hakuna sababu ya JWTZ kupigana hiyo vita, na wasifikili kwamba hayo ni mazoezi tu... Hiyo ni Gorilla war....
I concur, Hatuwezi kuanza kulalama na kukata tamaa kama kwamba hatukujua kuwa vijana wetu tuliwapeleka kule wakalinde amani; na ya kuwa ikiwapasa kuwa mstari wa mbele lolote, vikiwemo vifo, laweza kutokea. He/she has done her part on earth! RIP SoldierAmani haiji ila kwa ncha ya upanga, aluta continua. Kwenye vita yoyote lazima mambo kama hayo hutokea kwenye battlefied. Hatutakaa kwa amani kama jirani wanapigana wao kwa wao. RIP SOULDIER.
Heshima kwenu wanajamvi,
Tukubaliane Tanzania ilipeleka wanajeshi wake DRC chini ya mwavuli wa UN kulinda amani huko.Ni wazi kabisa unapoingia vitani suala la kufa au kujeruhiwa haliepukiki.Inashangaza wapo baadhi ya waTanzania wanaposikia habari za wanajeshi wetu kufa wanaanza kulalama utadhani waliambiwa wanajeshi wetu wanakinga dhidi ya risasi na mabomu.
Tuwape moyo wanajeshi wetu tusiwape nafasi maadui kwa kudandia propaganda dhaifu.Tujiulize wanajeshi wa merekani wangapi wamekufa Iraq au Afghanistan ?.Niko nyuma ya JWTZ, Niko nyuma ya uamuzi wa serekali wa kupeleka wanajeshi wetu DRC,tumechoka kulea wakimbizi njia sahihi ya kumaliza tatizo la wakimbizi Tanzania ni kushiriki kuitafuta na kuilinda amani ya DRC.
Una uhakika kwamba kina Kagame ndio wanawapatia silaha hayo M23? Tatizo la sisi waTz ni wepesi sana wa kusahau. Je, unakumbuka ishu ya "Mapanki ya Darwin". je, unakumbuka vizuri kuwa kuna ndege za kijeshi zilizokuwa zimebeba Silaha, zilizokuwa zinatua kule mwanza-Tz, unakumbuka? je, umeshawai kujiuliza zile silaha zilikuwa zikiishia/kwenda wapi?
BIG UP SANA.
Hapo ndipo uone kuwa neno UZALENDO ni la mdomoni kwa watu wengi si kwa vitendo. Inawezekana hata baadhi ya viongozi wetu neno hili ni mdomoni tu. Vita ikirindima wanatimka mbio kurudi nyuma. Sisi tulipiga risasi wengi wa waoga hawa kwenye vita vya Kagera.
MD25 Tukiweza kuistabilize Congo tutafaidika na mengi sana.Congo ni moja ya nchi kubwa kabisa Afrika na kwa rasilimali na population ni mtaji tosha kwetu. Population na rasilimali za Congo ni zaidi ya nchi zote za EAC ukiziunganisha ukitoa Tanzania.
Najua inawezekana kupeleka jeshi Congo hatuna malengo ya uchumi zaidi ya kutumika na mataifa makubwa (kwa mazingira ya viongozi wetu wa sasa) lakini vyovyote vile amani yao inafaida kwetu kiuchumi.
So jamaa wameziweka mpaka leo wanazo?
Heshima kwenu wanajamvi,
Tukubaliane Tanzania ilipeleka wanajeshi wake DRC chini ya mwavuli wa UN kulinda amani huko.Ni wazi kabisa unapoingia vitani suala la kufa au kujeruhiwa haliepukiki.Inashangaza wapo baadhi ya waTanzania wanaposikia habari za wanajeshi wetu kufa wanaanza kulalama utadhani waliambiwa wanajeshi wetu wanakinga dhidi ya risasi na mabomu.
Tuwape moyo wanajeshi wetu tusiwape nafasi maadui kwa kudandia propaganda dhaifu.Tujiulize wanajeshi wa merekani wangapi wamekufa Iraq au Afghanistan ?.Niko nyuma ya JWTZ, Niko nyuma ya uamuzi wa serekali wa kupeleka wanajeshi wetu DRC,tumechoka kulea wakimbizi njia sahihi ya kumaliza tatizo la wakimbizi Tanzania ni kushiriki kuitafuta na kuilinda amani ya DRC.