Tatizo watu hampendi kuambiwa ukweli,hii vita haina maana yoyote kwa watanzania,wanakufa bure kwa sababu ya masilahi ya jk na zuma tu,tena sio huyo meja tu,kuna wengi sana wamekufa wanaficha,wamemtaja meja kwani ni mtu wa cheo kikubwa huwezi kuua meja wengine aliokua nao wakasalimika,yani makopolo na private niwengi wamekufa,halafu wewe unaleta vya uzalendo,mala unga sijui nini,ukweli mtaujua si muda murefu.
ahahaahahaha we inaonekana bangi zimezidi,wewe jibu hoja acha vitisho,unataka unin'goa meno na kucha?ahahahahaha nakubali M 23 wanakufa sikatai kabisa,lakini wao wanahaki ya kufa kwani wanapigania haki yao,sasa watanzania mnapigania nini? kwanini msipiganie haki zenu wenyewe,unataka kunieleza kwamba tanzania kwenyewe mna haki? anzeni kwenu ndio muone kwenda kuwasaidia wengine.==>> mavi ya kuku wee....ww unaandikia wapi..?? unajua M23 wamekufa wangapi juzi...?? unajua au unaongea with scented mouth...shit... u hv been defending m23 hapa JF muda sana we track u closely...very very closely....utalia....wait...utalia...wape ma------ au nenda Rwanda....fanya hivyo tutakumaliza
....tutakupata tu...tutakushika tu....tutakuonyesha...
Ahaa, wewe nimekundua ni Mtutsi, hata unavyoandika! Sasa tuongee lugha moja na tupate ukweli, Je kwa nini mnaing'ang'ania Goma na hamtaki kurudi kwenu Rwanda? Jibu.
Ban and the UN should stop nagging over the effect while ignoring the cause! While the same UN is contemplating on military actions on Bashar al-Assad, the same UN ignores those perpetuating the Congo endless war! Ban Ki-Moon stop fooling Africa. Tell US and Britain to add Kagame and Museven to the Bashar al-Assad roll. We all know that the M23 are just mercenaries of the two bloodthirsty presidas in East Africa.
Arushaone
leo umeongea kama mtanzania kauli muafaka !
Watanzania tuko nyuma yao!!R I P SOLDIER na mapambano yaendelee mpaka nia na malengo yaliyokusudiwa yatimie.
kwa mwanajeshi kufariki vitani siyo jambo la kushangaza sana! naomba Mungu amlaze mahala pema lkn isiwe sababu ya kusema jeshi letu liondoe wanajeshi congo. lazima m23 wamalizwe drc ili amani irejee na uharibifu wa kagame ushindwe. nguvu za kiuwaji za kagame lazima zidhoofishwe na kusambaratishwa. aluta continua!
We cant do anything while there is misunderstanding btn jk and kagame, we can attack them bt they will kill us silently,we will lose our pple silently,
Mkuu nimesikitishwa na hoja yako; kuliko kufa huku umekaa na kutazama upuuzi wa akina Kagema afadhali kufa mpaka ukweli ujulikane. Mbona hamsemi wao wamekufa wangapi?
Hivi lazima TZ ipeleke vikosi huko wanakopeleka?
Suala la wao kufa wangapi halituhusu aisee.
Hata kama wamekufa wote..Damu ya Askari wetu ina thamani kubwa kuliko idadi ya M23 waliokufa
tunatakiwa tuongeze askari, mwanaume hakimbii wala kuogopa wala kusalimu amri, cha msingi hapa nchi zinazotuzunguka ziwe salama.
mBONA NCHINI ANAJENGA KWA KUPIGA TU PIGA TU MAANA TUMECHOKA...LIWALO NA LIWEKatika kitu ambacho Kikwete atajutia na hatokisahau kwenye uongozi wake ni uamzi wa kupeleka majeshi Congo.
Tulikuwa na njia nyingi mbadala kusaidia majeshi ya UN Congo kuliko kukubali kupeleka wanajeshi wetu, huwezi kujenga amani na majirani zako kwa kuua.