Highlander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 3,093
- 1,075
MKUU NA KUUNGA MKONO KWA HILO 100% Ni upumbavu kupeleka wanajeshi sehemu ambayo Kimsingi wanakuwa and tihgt control na hawawezi kujibu mashambulizi iwezekanavyo au strategic attacks huu ni upumbavu hamna namna nyingine tunavyo weza kuuita.
Kwa nini wasipewe amri ya kumshambuli moja kwamoja badala yake kuna kuwa na urasimu wa ovyoovyo mara waishiae hapa au pale ni narudia tena anayedhani kwamba Jeshi letu liko kule na ni Salama anajidanganya .Wote sisi ni wazalendo lakini hatuwezi kuchanganya uzalendo na uzandiki watu wameuwawa Sudan tumesikia Kulaani..kulaani..kulaani... ndo imetoka hivyo..sasa inatokea Kongo kama tumekwenda kupambana na M23 ilikuleta amani Kongo tupambane nao na tupewe unconditional mandate basi ! moja kwamoja ijulikane ...waache kurembaremba tatizo nivita vya kimaslahi zaidi...vinginmevyo vijana wetu warudi nyumbani...
Walikufa wakipigana Msumbiji....walikufa wakipigana Angola ...tulipambana kusaidia Zimbabwe,Uganda na Afrika ya Kusini hasara ya mali na uhai tuliyopata inatosha we have no more blood to be sheded
Agreed! Ni upumbavu UN kuingiza askari vitani wamefungwa mikono. Very stupid. Turuhusiwe kupigana. Kama Uganda na Kenya wataingia upande wa Rwanda waje na izuke tu vita ya SADC na EAC hapo.