M23 waua Meja wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) - UN Yalaani!

Mkuu chama, tuache unazi katika hili....yaani tunatoa kafara askari wetu wakati tunajua kabisa kuwa Mbaya wa Congo ni Kagame mfadhili wa M23.
Kwanini !MONUSCO isijikite kuukata mzizi ambao ni Kagame wa mekimbilia Matawi ambayo ni M23.
Au CCM hamlijui hili????

Mkuu Bramo
Huko tunatafuta amani Kagame asikuumize kichwa MUNUSCO wanakata mzizi wa fitina M23 tukimaliza hapo Kagame hataweza kuiba rasimali za Congo atayumba kiuchumi wanyarwanda wenzake watamaliza kazi aliingia kwa mtutu ataondoka kwa mtutu!
 
Last edited by a moderator:
Labda nikusaidie kuuliza maswali ya msingi, maana naona unalazimisha tuvae tai bila shati. Ulitakiwa uulize hivi: Nani ameruhusu nchi yetu kujiunga na UN? Ni bunge au kura ya maoni? Nini masilahi ya taifa katika ushirika wake na UN?

Uliza maswali hayo hayo kwa South Africa, Malawi, na nchi nyingine zilizopeleka majeshi huko.

Ha ha ha Mkuu umemuweza huyu mtu mvivu wa kufikiri.
 
kwanza ki-bin-adamu R.I.P SOLDIER, na familia yake na watanzania wote kwa pamoja tupeane pole kwa kumpoteza ndugu na comrade mwenzetu.

pili...nchi ipo katika vita na sio vizuri kuwa na destructed perception hasa wakati kama huu..

LAZIMA WATANZANIA WOTE TUUNGANE NA KUWA KITU KIMOJA KATIKA HII MISSION YA KUWATOA M23 NA KAGAME IN GENERAL.
USHINDI WETU HUKO KONGO NI USHINDI DHIDI YA KAGAME NA PIA NI HESHIMA KWA TAIFA LETU KUBWA AFRICA MASHARIKI.
KAMA MNAVYOONA KWA SASA "WENZETU" WANATUTENGA NA KUTUKIMBIA..ILA NDIO MUDA SAHIHI KUWAONYESHA KUWA TUMESHIKAMANA KATIKA KUWEKA JUU HESHIMA YA TAIFA LETU REGARDLESS MAPUNGUFU TULIYO NAYO NDANI YA NYUMBA YETU KAMWE HESHIMA YETU NJE YA NYUMBA YETU LAZMA IWE JUU NA IHESHIMIWE.

KITENDO CHA KUSHINDWA VITA NA WAHUNI WA M23 (WANAOUNGWA MKONO NA KAGAMME) KITALETA DHARAU KUBWA NA MAJIRANI ZETU WATAJIONA WANAWEZA HATA KUTUNYANGANYA KIDOGO TULICHONACHO...

NAMSHAURI MH. RAISI KAMA AMIRI JESHI MKUU KUWA HUU NDIO MUDA WA KUREJESHA HESHIMA YA TAIFA LETU LA TANZANIA/TANGANYIKA....TUMCHAPE KAGAME KWA KUWA ANAWAUNGA MKONO M23 KISHA TUKAWAMALIZE M23 TUKITOKEA RWANDA TUONE M23 NA KAGAMAE WATAKIMBILIA WAPI KAMA SIO KWA M7

THEN TUONGELEE EAST AFRICA BILA KAGAME NA AMANI YA CONGO.

NIA TUNAYO

SABABU TUNAZO

UWEZO PIA TUNAO...TUUNGANE WATANZANIA TUMALIZE KAZI TULIYOLAZIMISHWA KUIANZA NA HAWA M23.

MUNGU IBARIKI AFRICA MUNGU IBARIKI TANZANIA.
 
am irk na kuchukizwa na jinsi some of these people called Tanznanians who are blind and stupid to stand for whats its for the country and our believe.
if you cant die for your country, then you are worthy living in any of the country. unworthy citizen!
kikwete an jwtz need to rethink this plan upya and eventually remove Kgame out of rwanda ikiwezekana to kill him from inside and outside rwanda.wanajeshi lets go, am behind with you in prayers and for the most part we tanznaia we standing with you. its war against good and evil.
 
I can see how people are cheerleading these events while other doing their business and make fortunes out of it. For all of you great thinkers if you think what is happening in DRC is just peacekeeping you are just lying to your selves. Since the days of DAG HAMMERSJOLD (RIP) who was UN secretary lost his life in the same area. J.K& PK fight is all about business some of us just think its about Tanzania and Rwanda. C.I.A provides C.I.A gets, C.I.A makes you fight to easen their extortion of African wealth. We send our soldiers because someone somewhere has been offered a great deal of his lifetime at the expense of his citizens and we all have to die for him to become him anyway.....Come on... THINK
 
Ndugu

Umeongea maneno ya msingi sana kwa sentensi moja tu.

Hivi tunaweza kuhalalisha uwepo wetu huko Congo katikati ya hivi vita kwa vigezo vipi ?

Respect !!!

Hatuna faida yyt tunayoipata kwenye vita hii;Amiri Jeshi Mkuu Rais JK tafadhali sana rudisha vijana nyumbani!

Hata mataifa makubwa ikiwemo USA kule Vietnam na Somalia walirudisha vijana nyumbani na ku retreat sio jambo la aibu!

Nilionya hapa zamani kidogo M23 sio warahisi na wakishambuliwa na wao watajibu na kikubwa zaidi wana uzoefu mno na geographical position ya uwanja wa mapigano!JWTZ itegemee upinzani zaidi kwani vita hivi sio sawa na vile rahisi walivyo shirikia Moroni-Comoro!
 
Pumzika kwa amani kamanda wetu.

Watoto wamepoteza baba yao sisi tunakalia "pumzika kwa amani";Mke kapoteza mme wake sisi tunakalia "pumzika kwa amani"!Tunapata nn kwenye vita hivi?

Katiba mpya itamke ni Bunge tu lenye uwezo wa kupeleka vijana wetu vitani;Vita vya ki p u u z i kama hivi hatuvitaki tena!

Kama M23 wanafikia kuua kijana wetu mwenye uzoefu wa hali ya juu na mwenye cheo kikubwa kama hiki ambaye ana mbinu nyingi kwenye medani za kijeshi basi tutegemee mabalaa zaidi!

JK rudisha vijana wetu nyumbani!
 
si mnataka vita?sasa vita hiyo mnaiona.Endeleeni kushambikia vita ili vizuke kati ya Rwanda na Tanzania.Hapo ndio utaona vizuri kuwa vita ni zuri au sio nzuri.
 
Vita ndiyo vilivyo lazima kuwe na casualties. Pole nyingi sana kwa wafiwa. Rest in peace commander!!!
 
Poleni vijana wetu, I sugest the use of intensive air bombardiment, to reduce ground troops casualities.!!!

MKUU NA KUUNGA MKONO KWA HILO 100% Ni upumbavu kupeleka wanajeshi sehemu ambayo Kimsingi wanakuwa and tihgt control na hawawezi kujibu mashambulizi iwezekanavyo au strategic attacks huu ni upumbavu hamna namna nyingine tunavyo weza kuuita.

Kwa nini wasipewe amri ya kumshambuli moja kwamoja badala yake kuna kuwa na urasimu wa ovyoovyo mara waishiae hapa au pale ni narudia tena anayedhani kwamba Jeshi letu liko kule na ni Salama anajidanganya .Wote sisi ni wazalendo lakini hatuwezi kuchanganya uzalendo na uzandiki watu wameuwawa Sudan tumesikia Kulaani..kulaani..kulaani... ndo imetoka hivyo..sasa inatokea Kongo kama tumekwenda kupambana na M23 ilikuleta amani Kongo tupambane nao na tupewe unconditional mandate basi ! moja kwamoja ijulikane ...waache kurembaremba tatizo nivita vya kimaslahi zaidi...vinginmevyo vijana wetu warudi nyumbani...

Walikufa wakipigana Msumbiji....walikufa wakipigana Angola ...tulipambana kusaidia Zimbabwe,Uganda na Afrika ya Kusini hasara ya mali na uhai tuliyopata inatosha we have no more blood to be sheded
 
M23 wanasema Jwtz is the toughest.SOMA ,Insight:getting tough in congo. Imeandikwa na Reuters.com jana
 
Watoto wamepoteza baba yao sisi tunakalia "pumzika kwa amani";Mke kapoteza mme wake sisi tunakalia "pumzika kwa amani"!Tunapata nn kwenye vita hivi?

Katiba mpya itamke ni Bunge tu lenye uwezo wa kupeleka vijana wetu vitani;Vita vya ki p u u z i kama hivi hatuvitaki tena!



Kama M23 wanafikia kuua kijana wetu mwenye uzoefu wa hali ya juu na mwenye cheo kikubwa kama hiki ambaye ana mbinu nyingi kwenye medani za kijeshi basi tutegemee mabalaa zaidi!

JK rudisha vijana wetu nyumbani!

MKUU hii ni nzuri hasa ridhaa ya Bunge kwani sasa inaonekana potician wanatafuta cheap popularity kupeleka watoto wa wenzao vitani halafu wakifa wanakuja na kauli za ovyoovyo za kufariji wafiwa na baada ya hapo inakuwa imekula kwa watoto wa marehemu.

Sipingi Jeshi letu kujihusisha na jitihada za Usalama ila ninachopinga ni viongozi wetu kukubali kutoa vijana wetu bila kuweka utaratibu utakaohakikisha kwamba hatua za usalama zinachukuliwa na vijana wetu wanakuwa na uwezo wakushambulia muda wowote watakaoona inafaa na siyo kwa visingizio vya kujilinda. Hili suala la Konga ni uzembe wa Komandi ya UN kwani hakuna sababu unajua mtu anatakiwa kuwa disarmed wewe unaremba unamwacha km mbilitatu toka ulipo eti ukisubiri sijui itafaki gani...Kama hawako tayari Majeshi yetu yarudi nyumbani na watakapokuwa tayari twenda moja kwamoja kushughulika na M23 na ijulikane hivyo.
 
MKUU hii ni nzuri hasa ridhaa ya Bunge kwani sasa inaonekana potician wanatafuta cheap popularity kupeleka watoto wa wenzao vitani halafu wakifa wanakuja na kauli za ovyoovyo za kufariji wafiwa na baada ya hapo inakuwa imekula kwa watoto wa marehemu.

Sipingi Jeshi letu kujihusisha na jitihada za Usalama ila ninachopinga ni viongozi wetu kukubali kutoa vijana wetu bila kuweka utaratibu utakaohakikisha kwamba hatua za usalama zinachukuliwa na vijana wetu wanakuwa na uwezo wakushambulia muda wowote watakaoona inafaa na siyo kwa visingizio vya kujilinda. Hili suala la Konga ni uzembe wa Komandi ya UN kwani hakuna sababu unajua mtu anatakiwa kuwa disarmed wewe unaremba unamwacha km mbilitatu toka ulipo eti ukisubiri sijui itafaki gani...Kama hawako tayari Majeshi yetu yarudi nyumbani na watakapokuwa tayari twenda moja kwamoja kushughulika na M23 na ijulikane hivyo.

Out of topic!
Mhhhh!Kajunjumele hii ya ziwa Nyasa hapa karibu na Itungi kwa babu yangu Diwani Majuni na mjomba Mwangama au?

On topic!
Yaa vijana wetu warudi pale kambini "Ipyana"!Rwanda na Uganda wapo kundi la M23 kwa sababu wanavuna madini kwenye maeneo yanayokaliwa na waasi hao!

Sisi tunapata nn kwenye vita hii?NOTHING
 
Mheshimiwa raisi, warudishe watoto wetu nyumbani. Wafe kwa ajili ya kulinda nchi yao lakini siyo kwenye vita na watu wa Kagame

Wakikusikia wajeda wenyewe watakulaani mbaya....wenzio wana-make dola weye unataka warudi!
 
Kagame ana Vikosi vingi vya Ulinzi na Jeshi lake ni Kubwa sana ukilinganisha na idadi ya majeshi ktk Nchi jirani na njia rahisi ya kumudu kugharimia Jeshi lake kubwa ni kupora madini na Rasilimali nyingi toka Congo kwa kutumia m23 ambao wamejichanganya na Makomandoo wa jeshi la Rwanda hivyo Kagame anajua Congo ikiwa Huru tu kwake njaa itabisha hodi atakosa pesa za kugharimia Jeshi lake kubwa matokeo yake Uasi wa ndani utajongea na kumtoa Madarakani Ndio Maana kagame amebuni mbinu Nyingi kuiyumbisha Tz kiuchumi Mara ahamie Bandari ya Mombasa Mara hv Mara vile ili mladi auhadae ulimwengu huku akiendelea kushusha siraha kwa m23 na kupora Mali za Congo kiulaini

Kuhusu Vifo, na kuhusu Rwanda kutumia Mombasa zaidi, nakubaliana nawe Kagame hawezi kupitisha silaha Dar. Mombasa ni salama zaidi kwa kupitishia silaha zake.

Kuhusu vifo naliona kama jambo la kutegemea. Wale JW walioenda kule hawakuenda kwenye mashindano ya soka.
 
mkuu hii ni nzuri hasa ridhaa ya bunge kwani sasa inaonekana potician wanatafuta cheap popularity kupeleka watoto wa wenzao vitani halafu wakifa wanakuja na kauli za ovyoovyo za kufariji wafiwa na baada ya hapo inakuwa imekula kwa watoto wa marehemu.

Sipingi jeshi letu kujihusisha na jitihada za usalama ila ninachopinga ni viongozi wetu kukubali kutoa vijana wetu bila kuweka utaratibu utakaohakikisha kwamba hatua za usalama zinachukuliwa na vijana wetu wanakuwa na uwezo wakushambulia muda wowote watakaoona inafaa na siyo kwa visingizio vya kujilinda. Hili suala la konga ni uzembe wa komandi ya un kwani hakuna sababu unajua mtu anatakiwa kuwa disarmed wewe unaremba unamwacha km mbilitatu toka ulipo eti ukisubiri sijui itafaki gani...kama hawako tayari majeshi yetu yarudi nyumbani na watakapokuwa tayari twenda moja kwamoja kushughulika na m23 na ijulikane hivyo.

tumeenda drc kulinda amani kwa sababu bunge letu lilikubaliana na mikataba ya umoja wa mataifa kulinda amani popote duniani..ndio maana hata liberia, sudan na lebanon tulipeleka majeshi....kama tunataka kujitoa tuanze na bunge letu kupitisha ovyo kila mikataba inayowekwa mezani bila kuuliza maslahi ya taifa..ndio maana nchi kama marekani ilikataa kutia saini mkataba wa umoja wa mataifa kulinda mazingira wa kyoto japan...think big broo.

Anyway..tupo vitani..the best way sio kugombana na kulaumiana..ni kupeana mbinu za kushinda vita na tuta-count losses after the victorious won wars....

Strategy no-1. Tukate supply ya silaha kwa m23..ambayo ni rwanda. Lets wage a war with rwanda na tumtoe pk then tuone hao m23 watakimbilia wapi kama sio kwa m7

strategy no-2. Kila vita ina-gharama zake kubwa tuu..ndio maana marekani huwa hapigani vita sehemu ambayo haiwezi kumlipa gharama za vile vita...hii vita inalipa na ukimtoa pk inakuwa rahisi kulipwa chetu na drc kupitia madini aliyokuwa anachukuwa kagame na m23 wake in exchange for peace tutakayoiweka huko goma..plus tunaikalia rwanda kupunguza tension kwa east africa for atleast 5 years mbaka nchi itapopata kiongozi wa kidemokrasia kama sisi na wenzetu kenya...in doing soo tunatuma sms kwa jirani uganda na m7 atafuta ndoto zake zinazokaribiana na zile za amini dada.

Guys am soooo sorry to tell the truth in a broad daylight.
 
Back
Top Bottom