Nataka kutuma kwa kutumia Western Union nimtumie nani?
Ktk hali ya kushangaza ukituma m pesa kwa CHADEMA inakataa kulikoni?.
ahaaaaaa duh wachagga na pesa!!! anzisheni na kampuni yenu ya simu sasa muiite CHADOTEL
Mwenyewe nimetuma mara nyingi sana inakataa mpaka simu imeisha betri. Labda server ya M-MPESA inashindwa ku accommodate flow ya watumaji.
Ni kweli hata mm nimehangaika sana mwisho nimekata tamaa sikufanikiwa kutuma chochoteukituma wanakwambia m/pesa hawawezi kutuma pesa kwa chadema arusha
Wakurugenzi wa bodi ni kina Msekwa et al. Unategemea nn hapo?Labda ni mapema kusema kuwa ni hujuma, japo nalo linawezekana.....
Maana haya makampuni ya simu yanaendeshwa kwa uoga wa hali ya juu utafikiri kuna uwalakini katika umiliki wake!!
inawezekana ikawa hujuma pia, sio jambo la kushangaza sababu Rostam Aziz, Pius Msekwa ni baadhi ya Share holder wakubwa wa VodaCom TanzaniaKtk hali ya kushangaza ukituma m pesa kwa CHADEMA inakataa kulikoni?.
ahaaaaaa duh wachagga na pesa!!! anzisheni na kampuni yenu ya simu sasa muiite CHADOTEL
Dick hata siamini kama na wewe ni magamba.....for sure hufanani mshikaji wangu...jiunge na chama makini.
Labda ni mapema kusema kuwa ni hujuma, japo nalo linawezekana.....
Maana haya makampuni ya simu yanaendeshwa kwa uoga wa hali ya juu utafikiri kuna uwalakini katika umiliki wake!!
pumba!ahaaaaaa duh wachagga na pesa!!! anzisheni na kampuni yenu ya simu sasa muiite CHADOTEL