GAMBLER
JF-Expert Member
- Nov 22, 2009
- 303
- 11
Habari wadau,
Naomba nitoe dukuduku langu, kuna huyu mwenyekiti wa mtaa wa CCM kata ya Upanga Mashariki anaitwaa Rukiya A. Riyami toka aukwae uenyekiti 2011, anatukamua sana sisi wakaazi wa Upanga, kila mwezi anataka kila kaya ilipe alf 5 ya kupuliza dawa ya wadudu, anatuchangisha michango mingi, na juzi katuletea barua kuwa kapandisha ada ya sungusungu toka alfu 3 mpaka alfu 5,na mtu akichelewa kulipa anatutumia mgambo na vitisho vingi, sasa mimi najiuliza hivi miezi 2 tu kushika kiti hali ndio hii,miaka 5 itakuaje???
Naomba mamlaka husika zichukue hatua, maana huu ni ufisadi mkubwa kwa wananchi
Naomba nitoe dukuduku langu, kuna huyu mwenyekiti wa mtaa wa CCM kata ya Upanga Mashariki anaitwaa Rukiya A. Riyami toka aukwae uenyekiti 2011, anatukamua sana sisi wakaazi wa Upanga, kila mwezi anataka kila kaya ilipe alf 5 ya kupuliza dawa ya wadudu, anatuchangisha michango mingi, na juzi katuletea barua kuwa kapandisha ada ya sungusungu toka alfu 3 mpaka alfu 5,na mtu akichelewa kulipa anatutumia mgambo na vitisho vingi, sasa mimi najiuliza hivi miezi 2 tu kushika kiti hali ndio hii,miaka 5 itakuaje???
Naomba mamlaka husika zichukue hatua, maana huu ni ufisadi mkubwa kwa wananchi