Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Kwa mabinti wote Akiwemo afrodenz. hivi nyinyi mnapenda mwanaume awe na sauti gani? nyembamba kama nyinyi ,nyororo, kigugumizi au sauti la besi kama mvuta bangi etc?
Kwa mabinti wote Akiwemo afrodenz. hivi nyinyi mnapenda mwanaume awe na sauti gani? nyembamba kama nyinyi ,nyororo, kigugumizi au sauti la besi kama mvuta bangi etc?
hhaaah ..nimeamini alichosema babu leo..Kwani majibu hukuyapata kule?!
mama brian wewe ni kikongwe???????
how old is brian????????
yaani mmeanzisha thread sio?????
mike tyson anapendwa na wadada kwa sauti yake nyembamba ya kike
wakati yeye ni dume lisilo na mpinzani
his nickname iron killer mike lol
ha ha haaa
Lolz...
Sipati picha mwili wote ule afu sauti ya kike... Khaaa! anakataje apetite?...
kigugumizi je?ni vyema mwanaume akawa na sauti ya kiume
Kwa mabinti wote Akiwemo afrodenz. hivi nyinyi mnapenda mwanaume awe na sauti gani? nyembamba kama nyinyi ,nyororo, kigugumizi au sauti la besi kama mvuta bangi etc?
sauti ya nne?tutaanza kuongeza base kwenye sauti zetu lol
+kisauti cha YOYOSauti ya Kiume ikoje?
ni ipi kati ya hizi: ya Nyerere, ya Mkapa, ya JK, ya Mbowe, ya Silaa, ya Obama, ya Bush, au ya Makamba?
Hebu kwa mnaojua sauti za hao watu hapo juu mniambie ipi ya kiume ipi siyo, ili nijiangalie sauti yangu iko kwenye kundi lipi hapo.
duh!obama anakimbiza mbayaa...naikubal sana ile voice yake...co hz za kna jk.Sauti ya Kiume ikoje?ni ipi kati ya hizi: ya Nyerere, ya Mkapa, ya JK, ya Mbowe, ya Silaa, ya Obama, ya Bush, au ya Makamba?Hebu kwa mnaojua sauti za hao watu hapo juu mniambie ipi ya kiume ipi siyo, ili nijiangalie sauti yangu iko kwenye kundi lipi hapo.