Aliyewahi kuwa mbunge wa Bukoba mjini kwa tiketi ya CUF na naibu katibu mkuu, bwana Lwekatare inasekana yuko kwenye hatua za mwisho kujiunga na CHADEMA.
Hali hiyo imekuja baada ya mkutano mkuu wa CUF uliofanyika mwishoni wa Februari kuchagua viongozi mbali mbali na baada ya hapo kuna nafasi za kuteuliwa, bwana Lwekatare alikosa nafasi yake ya naibu katibu mkuu.
Lwekatare amekosa uvumilivu wa mzee Kawawa wa kupanda na kushuka kimadaraka?
Hali hiyo imekuja baada ya mkutano mkuu wa CUF uliofanyika mwishoni wa Februari kuchagua viongozi mbali mbali na baada ya hapo kuna nafasi za kuteuliwa, bwana Lwekatare alikosa nafasi yake ya naibu katibu mkuu.
Lwekatare amekosa uvumilivu wa mzee Kawawa wa kupanda na kushuka kimadaraka?