CCm ndio wenyewe kwa kusafirisha watu toka sehemu za mbali na jirani chaguzi zinakofanyika bora chadema walichukua Tarime sasa CCM waliwatoa toka Dar es Salaam,wakifanya tabia za kijambazi kabisa
Polisi sasa hivi wanjulikana kwamba lao moja mkuu kuchafua chadema kwa mbinu zozote zile na wala sio jpya kila mtu anafahamu
Ahsante sana bora wewe ume admit. Ila hii inaweza kuwa excuse kama CCM ikifanya ndo CHADEMA nao wafanye? au ndo mbadala wenyewe huu?