mkuu si useme zaidi, au unakimbizwa? Hii habari ni nyeti sana, si ya kuileta kiharaka hivyo. Tuambie amefutiwa halafu kimekuwa nini? Hana kesi ya kujibu? Au imekuwaje sasa? Yupo huru?
Lwakatare amefutiwa mashitaka yote ya ugaiidi na judge wa mahakama kuu.
Amebakiwa na shitaka moja tu linalohusu madai.
Ndio maana Mwigulu safari hii amekua mpole sana.
alijua upepo utamwendea vibaya.
Tutampa Ukaribisho wa kishujaa hapa Kagera
. thatha Ritz chama hii habari hamjaipata ama? mpaka thathaMahakama Kuu ya Tanzania imefuta mashtaka yote ya ugaidi yaliyokuwa yanamkabili Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa CHADEMA Wilfed Lwakatare.
Taarifa kutoka Mahakama Kuu zinasema Mahakama Kuu imebakiza shitaka moja tu, la utekaji ambalo lina dhamana.
Ndio maana Mwigulu safari hii amekua mpole sana.
alijua upepo utamwendea vibaya.
wewe ndio unasoma kama unakimbizwa mleta mada amesema lwakatare kabakiziwa shitaka moja la utekaji ambalo lina dhamana soma vizuri.
alimteka nani? lini? wapi? kwa nini? kwa ushahidi upi?imebakiza shitaka moja tu, la utekaji
Maandamano hayaruhusiwi tena.
vizuri sana sijui mwigulu nchemba ataenda kutoa ushaidi mbinguni naona mahakamani ameshindwa