chumvichumvi
JF-Expert Member
- May 6, 2010
- 1,205
- 304
kwema mkuu
PAMBAF...ZENYU, hizi sio issues za kufanyia utani wenu wa kitoto, Mnataka utani pelekeni huko.. Alaaaah
Mkuu, leo ni April 3, 2012. na siku ya wajinga iliisha saa nne asubuhi April 1, 2012. Haya maboksi aliyokamatwa nayo baada ya mshindi kutangazwa....!!!!. Inakuwaje?Akiwa anatokea kwenye hotel USA alikutanana na vijana CDM baada yakuweka vijana walinzi usuku kucha Lusinde ndo alitoka na mabokisi manne yenye picha za TV lakini ndani kulikuwa na mabox ya kupigia kura na yamejaa kura zilizopigwa tayari ndipo alipo ng'ang'aniwa na makamanda wa BAVICHA kwani issue waliishtukia jana usiku baada yakutonywa!!Valangati lilikuwa kali mpaka kaumizwa mkono umevunjika ila polisi wamefika katika tukio na kutawanya vijana waliotaka kumla Lusinde Mkuu wakituo alisema hawawezi kuvumilia upuuzi huu wakuiba kura hivyo Lusinde kapandishwa kwenye cruiser nakupelekwa central arusha!!yatakayojili nitawajulisha baadae nafatilia kwakaribu!!