makoye2009
JF-Expert Member
- Jun 12, 2009
- 2,638
- 1,218
Antony Lusekelo a.k.a Mzee wa Upako ni mnafiki mkubwa na yuko kibiashara zaidi kuliko kiutumishi wa Mungu.
Namshangaa Lusekelo kwa kushindwa kuona kiini cha mgomo wa Madaktari wetu. Lusekelo pia sijawahi kusikia anakemea Ongezeko la Posho za Wabunge za kulipwa Tshs.330,000/= Huyu jamaa ni mtaka sifa,mropokaji na mwongo mkubwa. Juzi tu tulisikia akisema amezuia mvua isinyeshe Dar,na ikinyesha ataacha Uchungaji akawe muuza Bangi. Mtumishi wa kweli wa Mungu hawezi kuwa na lugha za kihuni namna ile.
Kwanza yeye kama ni mwaminifu kweli atuambie MAPATO YA KANISA LAKE kutokana na Sadaka na Mafungu ya 10. Kila mtu anajua pale kanisani kawake kila SIKU ANAHUBIRI JUU YA WATU KUWA MATAJIRI. Utasikia washirika wake wakitamba kuwa walikuwa na gari moja sasa wana magari 3 au 4 n.k.Je, ina maana kanisa lake halitaki maskini? Mbona Biblia inasema ni vigumu sana kwa TAJIRI KUINGIA MBINGUNI kama ilivyo vigumu kwa ngamia kupenya kwenye tundu la sindano???
Nilishawahi kusikia kuna Mchungajim mmoja hapa Dar anatembelea GARI LA THAMANI YA TSHS. 300 Millioni. Sina uhakika kama ni Lusekelo au ni mwingine lakini yawezekana akawa ni huyu jamaa. Sasa kama wewe mchungaji una gari la bei mbaya kuliko hata Wabunge wa CCM, unaweza kutetea kweli MADAI YA MADAKTARI AMBAYO YAKO WAZI KABISA??
Yeye kama ana utu na ana Upako wa uponyaji kwanini hakusema wale wagonjwa waliotelekezwa na Madaktari wapelekwe kanisani kwake awaombee???
Natilia shaka sana Huduma ya Uchungaji wa Bwana Anthony Lusekelo.
Namshangaa Lusekelo kwa kushindwa kuona kiini cha mgomo wa Madaktari wetu. Lusekelo pia sijawahi kusikia anakemea Ongezeko la Posho za Wabunge za kulipwa Tshs.330,000/= Huyu jamaa ni mtaka sifa,mropokaji na mwongo mkubwa. Juzi tu tulisikia akisema amezuia mvua isinyeshe Dar,na ikinyesha ataacha Uchungaji akawe muuza Bangi. Mtumishi wa kweli wa Mungu hawezi kuwa na lugha za kihuni namna ile.
Kwanza yeye kama ni mwaminifu kweli atuambie MAPATO YA KANISA LAKE kutokana na Sadaka na Mafungu ya 10. Kila mtu anajua pale kanisani kawake kila SIKU ANAHUBIRI JUU YA WATU KUWA MATAJIRI. Utasikia washirika wake wakitamba kuwa walikuwa na gari moja sasa wana magari 3 au 4 n.k.Je, ina maana kanisa lake halitaki maskini? Mbona Biblia inasema ni vigumu sana kwa TAJIRI KUINGIA MBINGUNI kama ilivyo vigumu kwa ngamia kupenya kwenye tundu la sindano???
Nilishawahi kusikia kuna Mchungajim mmoja hapa Dar anatembelea GARI LA THAMANI YA TSHS. 300 Millioni. Sina uhakika kama ni Lusekelo au ni mwingine lakini yawezekana akawa ni huyu jamaa. Sasa kama wewe mchungaji una gari la bei mbaya kuliko hata Wabunge wa CCM, unaweza kutetea kweli MADAI YA MADAKTARI AMBAYO YAKO WAZI KABISA??
Yeye kama ana utu na ana Upako wa uponyaji kwanini hakusema wale wagonjwa waliotelekezwa na Madaktari wapelekwe kanisani kwake awaombee???
Natilia shaka sana Huduma ya Uchungaji wa Bwana Anthony Lusekelo.