Hivi hako katumbo hana mimba kweli ya Kanumba?
eti wadau mbona ndugu yang alipelekwa kizimbani na ka-askari kamoja tena kalikokuwa kamejichokea,inakuaje haka kamalaya kanapelekwa na kituo kizima cha police?afu bongo ilivyo ya mapoyoyo utaona kesi itakavyopigwa tarehe mpaka wabongo 2sahau!
Ni upepo tu, utapita.
jamani hilo tumbo hata mimi silielewi?? au kanumba katuachia mpwa!??
Ni nini sababu ya kumuwekea ulinzi mkali namna hii ?
Wakati hata hajapitia mafunzo ya Kijeshi.
Hana Silaha za kivita
Lakini police wamejaa ,wanadhani atatoroka?
Mungu amsaidie .na kweli ionekane
Presha ya media FirstLady1,
Wanamlinda yeye (Lulu) dhidi ya media/jamii (gharama za umaarufu).
Mtoto mzuri, nguo zimempa heshima, amepungua umbo , lakini tumbo................
ni upepo tu, utapita.