Paul Kijoka
JF-Expert Member
- Oct 25, 2010
- 1,399
- 255
Tanzania, Tanzania, Tanzania.......! Sasa haka kajitu ndo kanapewa escort ya namna hii!!!!! Huu ni ushenzi na upumbavu. alafu umaarufu wake ni nini!!!!! Tusipoacha upuuzi huu basi sote tutakuwa viazi
mafisadi wanapelekwa mahakamani kawaida ila aka kajitu ndo kanafanyiwa hivi? Hapa kanumba atatendewa haki. na yawezekana kanalala kwa J au R.
mafisadi wanapelekwa mahakamani kawaida ila aka kajitu ndo kanafanyiwa hivi? Hapa kanumba atatendewa haki. na yawezekana kanalala kwa J au R.