Luhwavi, Membe na Lukuvi, mnayopanga Gizani ili Magufuli asiwe Mwenyekiti wa CCM yawekwa Hadharani

Nimesoma mpaka hapo uliposema Membe alitegemea kupewa uwaziri mkuu nikagundua wewe ni mnafiki na muongo wa kutupwa na huenda hata katiba ya nchi huijui. Waziri mkuu ni lazima awe mbunge wa kuchaguliwa jimboni sasa Membe angewezaje kutegemea ateuliwe kuwa waziri mkuu wakati hakugombea ubunge? Baada ya kuona uzushi huu hata sikuendelea kusoma zaidi. Wadanganye wasiojua katiba
Soma kwanza vzuri amesema alidhani atapewa uwaziri mkuu baadae akashauriwa aache kugombea ubunge
 
Bora ungemtaja FEBRUARY Makamba.. ningekuelewa, umeanza kuwataja maswahiba wa mkulu akina Lukuvi.?
 
Sina lingine zaidi ya kukupa pole manake wakati wewe unashinda hapa ukijifanya ndo una uchungu sana na CCM na JPM na hivyo una wajibu wa kutetea kwa kila kitu, binafsi siwezi kushinda hapa kumtetea yeyote wala chama chochote! Nilichokuambia ni facts na ndio maana nikaanza kukuumbua kwa hiyo taarifa ya Membe kutogmbea ubunge ambayo unadanganya watu kwamba eti aishauriwa wakati habari za Membe kutogmbea zilikuwa open kwa kila anayefuatilia siasa za nchi hii!

Ni makelele yasiyo na maana yoyote kila wakati kulia lia kwamba JPM anataka kuhujumiwa wakati hamna kitu kama hicho! Lililo wazi ni kwamba JPM ana mahasimu wengi na hakuna kitu ambacho wangependa kukiona kama kumuona akishindwa vibaya sana kwenye uongozi wa chama! Hawezi kushindwa bila kupewa uenyekiti!!

Hili halihitaji kwenda shule kulifahamu kwahiyo wewe endelea kukesha huku ukiendelea kuwasubiri hao unaowaita wengine wakati wenzako tunakula bia huku!!!
Kama umetumwa na Membe umtetee humu basi utakuwa unatumika vibaya. Membe alitangaza kutogombea jimbo la Mtama kwa makubaliano kuwa angeenda kugombea jimbo la Lindi mjini ambalo lilikuwa chini ya Mbunge wa CUF, BARUANI. Mkakati wa CCM mkoa wa Lindi ulikuwa kulirejesha jimbo hilo mikononi mwa CCM ndipo Membe alipojitokeza kutaka kugombea. Hata hivyo, Mama Salma Kikwete na yeye alitaka kugombea jimbo hilo huku pia Riziki Lulida naye akajipanga kugombea.

Kutokana na hali hiyo, Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Lindi Mzee Mtopa akaamuru kuwa jimbo hilo ligombewe na mtu ambaye si miongoni mwa makada hao. Ndipo Riziki Lulida akaenda kugombea jimbo la Mchinga kabla ya kubwagwa na Said Mtanda ambapo baadaye Riziki akahamia CUF ambako aliteuliwa kuwa mbunge wa viti maalum baada ya kufanikisha CUF kushinda jimbo hilo la Mchinga pamoja na majimbo ya Kilwa na Liwale.

Mama Salma Kikwete akaamua asigombee na Benard Membe akajipa matumaini kuwa angeweza kushinda nafasi ya Urais. Hata hivyo, baada ya kubwagwa kwenye nafasi ya Urais, Membe alitaka kugombea tena kwenye jimbo lake la Mtama ambalo tayari lilishachukuliwa na Nape. Hivyo Membe akawa hana jinsi. Kwa lengo la kuleta utulivu ndani ya jimbo la Mtama, Membe alishauriwa kuwa asigombee tena kwenye jimbo hilo kwa vile alishatangaza kutogombea tena.

Kama hujui kitu ni bora ukakaa kimya. Ungemwambia Membe akueleze nini kilimsibu baada ya kukosa kugombea Urais na si kuja hapa na mipasho isiyo na mbele wala nyuma
 
Rais si lazima awe Mwenyekiti wa chama.

Hiyo si sababu.

Na kwa kweli, kwa mtu anayeelewa kanuni za uongozi kama separationnof powers, Chinese Wall of information, multiple loyalties, conflict of interest, opportunity cost etc kuwa rais kunatakiwa kumpunguzia mtu sifa na nafasi ya kuwa Mwenyekiti mzuri wa chama.

Unaelewa hizo concepts maana yake ni nini?

Mkuu Separation of powers inahusika vipi na kumpunguzia Magufuli nafasi ya kuwa mwenyekiti mzuri wa chama?

 
Safi.Hata. mimi natamani Magufuli asiwe mwenyekiti.Sio lazima
Halafu itasaidia kuhuisha demokrasia anayoikandamiza.
He is executive and that is enough for him. Let democratic processes prevail!
 
Safi.Hata. mimi natamani Magufuli asiwe mwenyekiti.Sio lazima
Halafu itasaidia kuhuisha demokrasia anayoikandamiza.
He is executive and that is enough for him. Let democratic processes prevail!
Mtaumia sana. Lazima Magufuli awanyooshe
 
Mkuu Separation of powers inahusika vipi na kumpunguzia Magufuli nafasi ya kuwa mwenyekiti mzuri wa chama?
Nimepost points 10 hapa kuhusiana na swali hili. sitaki kurudia kuandika tena kwani nilishaandika. Ngoja nikutafutie post.
 
Mkuu Separation of powers inahusika vipi na kumpunguzia Magufuli nafasi ya kuwa mwenyekiti mzuri wa chama?
Mkuu, hao ni wale wale tunaopambana nao. Wapo kila mahala na wanafadhiliwa na hawa tunaopambana nao
 
kutaka awe na full controlndicho kinachofanya iwe ni lazima, au ww unadhani kiyu kuwa lazima ni hadi kiandikwe
Of course, LAZIMA ni hadi katiba itamke hivyo na hapo hapatakuwa na option! Lakini endapo wataona kutokana na mazingira fulani fulani basi Rais "huyu" asipewe uongozi wa chama; hususani huku kukabidhiwa kwa kabla ya wakati, kutokana na sababu wanazoziona basi chama hatapewa kv katiba hailazimishi kufanya hivyo! Na Kutokana na ukweli huo, ndo huku kulia lia kwa kila wakati kwa akina Lizaboni
 
Of course, LAZIMA ni hadi katiba itamke hivyo na hapo hapatakuwa na option! Lakini endapo wataona kutokana na mazingira fulani fulani basi Rais "huyu" asipewe uongozi wa chama; hususani huku kukabidhiwa kwa kabla ya wakati, kutokana na sababu wanazoziona basi chama hatapewa kv katiba hailazimishi kufanya hivyo! Na Kutokana na ukweli huo, ndo huku kulia lia kwa kila wakati kwa akina Lizaboni
Unawaza kitu ambacho hakitatokea. Kikwete alikabidhiwa chama mwaka 2006 ilhali mkutano ulifanyika 2007. Unashangaa nini kwa Magufuli kukabidhiwa chama 2016? Tatizo lenu hamna kumbukumbu hata kidogo
 
Acha kuhangaika na majungu weweeeee
Chama chenu kina katiba yake...Acha katiba ifuatwe....wewe unadhani ni peke yako ambaye mawazo yako ni sahihi

Kwani magufuli akipingwa ni kosa gani katika demokrasia
Naona watu wamekudekezaaaaa na unajiona much know sasa
kumbe hajui kwamba watu wanataka haki itawale. Binafsi ningefurahi sana akikosa kwani kwa teuzi zake alizo zifanya mpaka sasa jamaa inaonekana kuna watu amewatenga hasa hawa walio maliza kufunga juzijuzi,akinamama na watu wa nyanda za juu kusini.
 
Sidhani kwamba Lizaboni unachoeleza ni ukweli kwani Luhwavi yupo busy mnaandaa mkutano mkuu wa kupokezana vijiti kwa Jk na Jpm. Iweje huyo huyo afanye ujinga wa namna hiyo wakati akijua hata afight namna gani Jpm ni lazima awe Mkiti. Lukuvi is most senior minister kwenye baraza LA mawaziri LA Jpm. Nifahamuvyo Lukuvi ni loyal sana kwa serikali na Rais wake. Lukuvi amekuwa youth league tangu miaka ya sabini. Hangeweza kufanya huo ujinga. Wewe Lizaboni acha hizo za kuwachafua watu. Unadhani ukianza sasa kutengeneza hoja zako mufilisi ndiyo utafanikiwa kuwaharibia? Serikali na chama tawala wana namna ya kuvet viongozi hawategemei jamii forum ipendekeza kama unavyodhani. Uwe mature. Subiri jumapili utapata matokeo ya Uenyekiti wa Jpm na sekretariet yake.
Ulipoanza na SIDHANI nikaona maana nzima ya wewe kuandika hii post imefia hapo..
 
Kuhusu Mh. Lukuvi ni UONGO mkubwa..!! na acha kumchafua Mh. Waziri Lukuvi, anapiga kazi sana Wizara ya Ardhi na Maendeleo ya makaazi..!! Lukuvi hana akili ya kijinga hivyo..!!

Kuhusu Membe na NKM Rajab, inawezekana... logic ipo....!! But Lukuvi hapana hapana hapana...!!

 
Kuhusu Mh. Lukuvi ni UONGO mkubwa..!! na acha kumchafua Mh. Waziri Lukuvi, anapiga kazi sana Wizara ya Ardhi na Maendeleo ya makaazi..!! Lukuvi hana akili ya kijinga hivyo..!!

Kuhusu Membe na NKM Rajab, inawezekana... logic ipo....!! But Lukuvi hapana hapana hapana...!!
Kila kitu kinawezekana. Usikimbilie kukanusha
 
mmh.. bora ungemtaja FEBRUARY makamba.. ningekuelewa, umeanza kuwataja maswahiba wa mkulu akina Lukuvi.?

Yap.. February Logic ipo kabisa.. But Lukuvi hapana kabisa.. mtoa mada kwa Lukuvi kakosea sana
 
Kama umetumwa na Membe umtetee humu basi utakuwa unatumika vibaya. Membe alitangaza kutogombea jimbo la Mtama kwa makubaliano kuwa angeenda kugombea jimbo la Lindi mjini ambalo lilikuwa chini ya Mbunge wa CUF, BARUANI. Mkakati wa CCM mkoa wa Lindi ulikuwa kulirejesha jimbo hilo mikononi mwa CCM ndipo Membe alipojitokeza kutaka kugombea. Hata hivyo, Mama Salma Kikwete na yeye alitaka kugombea jimbo hilo huku pia Riziki Lulida naye akajipanga kugombea.

Kutokana na hali hiyo, Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Lindi Mzee Mtopa akaamuru kuwa jimbo hilo ligombewe na mtu ambaye si miongoni mwa makada hao. Ndipo Riziki Lulida akaenda kugombea jimbo la Mchinga kabla ya kubwagwa na Said Mtanda ambapo baadaye Riziki akahamia CUF ambako aliteuliwa kuwa mbunge wa viti maalum baada ya kufanikisha CUF kushinda jimbo hilo la Mchinga pamoja na majimbo ya Kilwa na Liwale.

Mama Salma Kikwete akaamua asigombee na Benard Membe akajipa matumaini kuwa angeweza kushinda nafasi ya Urais. Hata hivyo, baada ya kubwagwa kwenye nafasi ya Urais, Membe alitaka kugombea tena kwenye jimbo lake la Mtama ambalo tayari lilishachukuliwa na Nape. Hivyo Membe akawa hana jinsi. Kwa lengo la kuleta utulivu ndani ya jimbo la Mtama, Membe alishauriwa kuwa asigombee tena kwenye jimbo hilo kwa vile alishatangaza kutogombea tena.

Kama hujui kitu ni bora ukakaa kimya. Ungemwambia Membe akueleze nini kilimsibu baada ya kukosa kugombea Urais na si kuja hapa na mipasho isiyo na mbele wala nyuma
Unafaa kupuuzwa manake itakuchukua muda sana kubaini tofauti kubwa kati yangu na yako na wala haielekei kwamba unazifahamu siasa zenyewe za Lindi! Utaishia kuandika ma-post mareeeeeeefu tu yasiyo na kichwa wala miguu manake kelele unazopiga wala hazina msingi; you're just PARANOID!!!!!

Narudia; wewe endelea tu kukesha JF na kutapata kwa vitu ambavyo havipo lakini watu wanaelekea Dom kula bata!
 
Back
Top Bottom