Lugha za watu kazi

Arabii

Member
Dec 23, 2011
30
8
Jamaa alitaka kuonesha anajua kidhungu "yestaday I saw u at ze maize shop..(Jana nilikuona dukani kwa muhindi) when u saw me u started 2 six six (uliponiona ulianza kusitasita) u ran away n decide 2 plant a car (ulikimbia na ukaamua kupanda gari) zen u port_cry me through da window(kisha ukanichungulia dirishani) now sleep down n snake well b4r I cut u a millet(sasa lala chini na nyooka vizuri kabla sijakukata mtama) umempata!
 
Jamaa alitaka kuonesha anajua kidhungu "yestaday I saw u at ze maize shop..(Jana nilikuona dukani kwa muhindi) when u saw me u started 2 six six (uliponiona ulianza kusitasita) u ran away n decide 2 plant a car (ulikimbia na ukaamua kupanda gari) zen u port_cry me through da window(kisha ukanichungulia dirishani) now sleep down n snake well b4r I cut u a millet(sasa lala chini na nyooka vizuri kabla sijakukata mtama) umempata!


HAPO KWENYE RED UMEDANGANYA
 
Jamaa alitaka kuonesha anajua kidhungu "yestaday I saw u at ze maize shop..(Jana nilikuona dukani kwa muhindi) when u saw me u started 2 six six (uliponiona ulianza kusitasita) u ran away n decide 2 plant a car (ulikimbia na ukaamua kupanda gari) zen u port_cry me through da window(kisha ukanichungulia dirishani) now sleep down n snake well b4r I cut u a millet(sasa lala chini na nyooka vizuri kabla sijakukata mtama) umempata!

Kwa hiyo ume maanisha port ndiyo chungu??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom