umeambiwa jamaa ni tapeli wa magali morogoro, pia ni MNEC, sasa unabisha nini?Jonas hapana, mnamchafua kwa interest za kisiasa hakuna matukio kama hayo
umeambiwa jamaa ni tapeli wa magali morogoro, pia ni MNEC, sasa unabisha nini?Jonas hapana, mnamchafua kwa interest za kisiasa hakuna matukio kama hayo
Jamani kwa wanaomjua huyu mama hata hii bunduki hajui inashikwaje mana hata muvi sijui kama anaangaliaga tuseme labda kajifunzia umo.......mtoa mada umetumwa nini manina zako.....na uyo jonas hana jeuri iyo mana maisha yake yote kashikilia mamake sasa hw can he shit on the palm that feeds him........
Tobaaaa yaani dalali amekuwa mwenyekiti wa uvccm,only in tanzania.
umeambiwa jamaa ni tapeli wa magali morogoro, pia ni MNEC, sasa unabisha nini?
Jonas hapana, mnamchafua kwa interest za kisiasa hakuna matukio kama hayo
Tunaomfhmu jonasi nkya tunawashangaa, jonas ni lecture mzumbe university pia ni mwanasheria wa kujitegemea kisiasa ni mjumbe wa nec na kibiashara ni mfanyabiashara mkubwa wa magari wa muda mrefu hapa morogoro, hayo masuala ya utapeli ni upinzani wa kumchafulia jina kibiashara kwakuwa hapa morogoro jonas ndiye aliyekuwa muagizaji na muuzaji mkubwa wa magari so kuna wafanyabiashara wengine wapinzani wake wakabuni njia za kumchafua kwa kumwita tapeli, kingine kikubwa zaidi kinachofanya wamchafue jonas nkya yeye ndiye kiongozi wa kampeni za lowasa kusaka u rais ktk mkoa wa morogoro hii ndo maada kuu.
Mwenyewe inasemekana kasema zimefyatuka bahati mbaya sasa we unakanusha nini tena??!??
Haya mambo unayatetea tu! kumbe biashara ya magari keshafanya? kuna mahusiano hapo! kama liacha na kuwa mtu mwema atubu mbele za watu ili wajue!
Unamfahamu Jonas?
Au wewe ndiye Jonas Mwenyewe?[/QUOTEBBi Ni Mimi nikusaidiaje. Nafikiri ndo jibu unalostahiki
ndio maana hawa jamaa hawatakiwi kukanyaga ikulu..Siku wakifanikiwa kuingia watanzania tumekwisha
humu jf watu wameaminishwa uongo kwamba Jonas ni tapeli hili swala ndilo ninalo lipinga hasa. Jonas amekuwa mwaminifu in business issue. Angekuwa mraghai wengi wangekufa kwa presha. Anachukia dhuruma na waga anapenda watu wawe waaminifu. Pia anaamini sana watu. Ukiona Jonas hakuamini ujue una matatizo wewe. Si issue ya kumchafua kwa masrai furani furani. I believe that its accidentally