Lowassa hawezi kamwe kuwa raisi, jiulize ni kwanini alijiuzulu uwaziri mkuu kwanza.
Tungekuwa kwenye nchi za wenzetu, haya yanayotokea sasa tungekuwa tumesha yasahau siku nyingi.
1. tuhuma za ufisadi - watu wangekuwa wamesha fikishwa mahakamani siku nyingi,
2. kiongozi kushindwa kuongoza - vote of no confidence siku nyingi,
3. matumizi mabaya ya ofisi ( hata kama ni tuhuma tu) - huna kazi
Ndio maana wenzetu wanaendelea na kutuacha tumesimama. Watanzania tunasubiri nini?
jiulize wewe, mtu muovu anajiuzulu? hapana anaogopa kushitakiwa, la sivyo kina Nahodha na Mwinyi mdogo, Ngeleja wangejiuzulu, nae kikwete angejiuzulu, sasa lowassa amejiuzulu kuwapeni nafasi mumchunguze kama ameiba, mbona ridhiwani na babake hawafanyi? Lowassa ni Msafi na ndio nyundo pekee ya kuokoa nchi hii, kumbuka hata mwinyi mkubwa aliwahi kustaafu uwaziri baada ya kupata skendo kama ajali hiyo ya lowassa, je urais hajaupata?Lowassa hawezi kamwe kuwa raisi, jiulize ni kwanini alijiuzulu uwaziri mkuu kwanza.
Kiukweli... Nchi inahitaji kichwa cha Dr.slaa peke yake. Tusiendelee kuwapamba hawa wala nchi eti walifanya ya msingi, hebu jiulize kwanini walijilimbikizia mali za walipa kodi wenye kipato cha chini na kusahau maslahi ya taifa? Lowasa hatufai hata kwa chumvi,wala sukari... Na wanatakiwa kuulizwa cortini siku moja
Ameeeeeeeeeeeen! Mungu atutunze mpaka tuyaone yote hayo. Yaani kila kukicha mambo mapya na magumu zaidi yanaibukaEe Mola endelea kunipa uhai ili niweze kuona madudu zaidi yaliyofanyika kumwingiza JK madarakani...Niweze kuona mwisho wa unafiki wa JK...Niweze kuona mihtasari ya mikutano ya siri iliyoongozwa na EL kupanga njama za kukwapua fedha za EPA ili JK aingie madarakani..Niweze kuona CCM ikimeguka mapande matatu..Niweze kupata ukweli wa chanzo cha chuki ya JK kwa Cigwiyemisi, Mkapa na Dr Salim..Niweze kupata ukweli kuhusu uhusiano wa JK, RA na Kagoda..........Aaamin!
Mkuu Hapo kwenye Red nakugongea thanks kabisa, hata mm nimeshachoka mkuuMmmmmh mimi kwwli kwa mwenendo wa sasa wa serikali mi naona kuna mvutano mkubwa sana wa mambo yafuatayo.
1. kuna kundi ambalo linaona kweli wameshindwa kuongoza serikali na hawastahili so wanataka kujivua gamba serikalini kabisa........nadhani hata JK anataka sema hasemi tu.
2. kuna kundi ambalo wanaona wameshindwa kuongoza kabisa ila wanagangamala tu kibongobongo butua liende.
3. kuna wale wenzangu na mimi ambao hata ukiwasha moto machoni mwao hawaoni... wenyewe wanaona wako sawa kabisa na wanaongoza vizuri so nao wanagangamala na upuuuzi wao.
IPO SIKU MKULIMA ATASHIKA JEMBE NA ALIME KICHWA CHA MTU NDIPO TUTAMBUE KUMBE ANAHITAJI HAKI
Ee Mola endelea kunipa uhai ili niweze kuona madudu zaidi yaliyofanyika kumwingiza JK madarakani...Niweze kuona mwisho wa unafiki wa JK...Niweze kuona mihtasari ya mikutano ya siri iliyoongozwa na EL kupanga njama za kukwapua fedha za EPA ili JK aingie madarakani..Niweze kuona CCM ikimeguka mapande matatu..Niweze kupata ukweli wa chanzo cha chuki ya JK kwa Cigwiyemisi, Mkapa na Dr Salim..Niweze kupata ukweli kuhusu uhusiano wa JK, RA na Kagoda..........Aaamin!
2015 kuna uwezekano wa Dr Slaa kushinda kama atapewa nafasi na Chadema, lakini kama ikishinda CCM tuombe iwe Lowassa, hatuangalii chama, tunamtafuta mtu jasiri tu
Mmoja kati ya hao akiwa rais, itabidi vijana tuingie msituni! Wote ni mafisadi wasio na maadili na wana agenda ya ukanda!
Ndugu yangu sisi hatutafuti mbwa hadi awe mkali, tunataka kiongozi ambaye ni mwadilifu, mchapa kazi na mwenye uelewa wa mambo ya kiuchumi na kisiasa ili iwe ni rahisi kupanga nini viwe vipaumbele, sio Lowasa aliyetaka atuletee mvua toka thailand.Rais ni Lowassa, kwanza ni mkali na ana uzoefu kuliko Dr Slaa