kuna habari ndani ya gazeti la mwananchi kuwa Lowasa waziri aliyejiuzulu kwa ajili ya kashfa atahutubia katika kumbukumbu ya miaka 13 ya kifo cha mwalimu huko , lambo islamic high school , wilayani mwanga. tuaambiwa kuwa atatoa mada kuhusu elimu na ajira
ninamshauri lowasa asishiriki kabisa kwenye hafla hii ya kumkumbuka mtu ambaye watanzania walimliilia sana kwa sababu zifuatazo
1. MWALImu mwenyewe hakuridhika na uadilifu wa mtu huyu lowasa tangu akiwa hai, alimkataa kata kata asiwe mmojawapo wa wagombea kiti cha urais wakati ule. wakati huo lowasa hakuwa na ukwasi wa kutisha kama alivyo nao leo, lakini jitihada za kujimbilikizia mali mwalimu aliziona dhidi ya mtu huyu.
2. wakati huu wa kuelekea kumalizika kwa chaguzi ndani ya ccm, lowasa amekuwa gulio kubwa la kununua kura, kuangusha wale ambao ni tishio kwake, mbaya zaidi wale ambao anadhani wanajua uchafu wake huu. lowasa amemaliza safari ya kununua wananchama wake wa ccm, sasa ameanza safari ya kuandaa mtaji wa kununua watazania wote, pesa anazo kupitia symbions anakovuma 145m kwa siku, acha vodacom kupitia alphatel na wizi mwingine kupitia wapambe wake akina rostam, nk
3. kwa uadilifu wa mwalimu mtu huyu asingethubutu kamwe hata kulisogelea kaburi lake, mbaya zaidi kuhutubia kuhusu mwalimu iltakuwa sawa na wale wahubiri maarufu "wanaohubiri ubora wa kunywa maji wakati wao wanakunywa divai
ninazo sababu nyingi, lakini naomba WATANZANIA WOTE KWA UJUMLA WETU TUUKATAE UNAFIKI WA MTU HUYU HATARI
ninamshauri lowasa asishiriki kabisa kwenye hafla hii ya kumkumbuka mtu ambaye watanzania walimliilia sana kwa sababu zifuatazo
1. MWALImu mwenyewe hakuridhika na uadilifu wa mtu huyu lowasa tangu akiwa hai, alimkataa kata kata asiwe mmojawapo wa wagombea kiti cha urais wakati ule. wakati huo lowasa hakuwa na ukwasi wa kutisha kama alivyo nao leo, lakini jitihada za kujimbilikizia mali mwalimu aliziona dhidi ya mtu huyu.
2. wakati huu wa kuelekea kumalizika kwa chaguzi ndani ya ccm, lowasa amekuwa gulio kubwa la kununua kura, kuangusha wale ambao ni tishio kwake, mbaya zaidi wale ambao anadhani wanajua uchafu wake huu. lowasa amemaliza safari ya kununua wananchama wake wa ccm, sasa ameanza safari ya kuandaa mtaji wa kununua watazania wote, pesa anazo kupitia symbions anakovuma 145m kwa siku, acha vodacom kupitia alphatel na wizi mwingine kupitia wapambe wake akina rostam, nk
3. kwa uadilifu wa mwalimu mtu huyu asingethubutu kamwe hata kulisogelea kaburi lake, mbaya zaidi kuhutubia kuhusu mwalimu iltakuwa sawa na wale wahubiri maarufu "wanaohubiri ubora wa kunywa maji wakati wao wanakunywa divai
ninazo sababu nyingi, lakini naomba WATANZANIA WOTE KWA UJUMLA WETU TUUKATAE UNAFIKI WA MTU HUYU HATARI