kimboka one
JF-Expert Member
- Jan 23, 2010
- 734
- 85
ukweli huyu mzee mi ninamkubali ni mchapaka kazi sana,ila mbona hatowi kauli mapema ili watanzania waanze mikakati wa kumweka madarakani maana siku hizi watanzania ndy waamuzi.sasa mzee wng sema ukisubiri chama kikusemea watu hawatakuelewa