Shukrani A. Ngonyani
JF-Expert Member
- Feb 23, 2014
- 1,179
- 2,004
Ni mwanasiasa wa ajabu sana kupata kutokea. Sijajua nini huwa anawaza kwa kweli.
1.Wakati wa tuhuma ya Richmond na baada ya tuhuma ya Richmond Lowassa ameendelea kubaki kimya tu akisikiza bila kujibu chochote.
2. Wakati anakatwa jina lake ktk kinyang'anyiro cha kupata mgombea kiti cha urais kupitia CCM aliendelea kuwa kimya ila hapa sasa akatenda(akaamu kuiacha CCM).
3. Anapokea matusi na kashfa nyingi sana kutoka CCM ktk kipindi hiki cha kampeni lakini amebaki kuwa kimya tu.
4. Amesalitiwa na sasa ananyanyaswa na rafiki yake wa zamani bwana Vasco da Gama lakini amebaki kimya.
Namuheshimu sana Lowassa na namwonea huruma sana ila kwa upande wa pili nabaki namwogopa. Ni mtu hatari sana, ana uvumilivu usio wa kawaida, huenda mwenzetu hana roho ya kibinadamu kama yangu na yako.
1.Wakati wa tuhuma ya Richmond na baada ya tuhuma ya Richmond Lowassa ameendelea kubaki kimya tu akisikiza bila kujibu chochote.
2. Wakati anakatwa jina lake ktk kinyang'anyiro cha kupata mgombea kiti cha urais kupitia CCM aliendelea kuwa kimya ila hapa sasa akatenda(akaamu kuiacha CCM).
3. Anapokea matusi na kashfa nyingi sana kutoka CCM ktk kipindi hiki cha kampeni lakini amebaki kuwa kimya tu.
4. Amesalitiwa na sasa ananyanyaswa na rafiki yake wa zamani bwana Vasco da Gama lakini amebaki kimya.
Namuheshimu sana Lowassa na namwonea huruma sana ila kwa upande wa pili nabaki namwogopa. Ni mtu hatari sana, ana uvumilivu usio wa kawaida, huenda mwenzetu hana roho ya kibinadamu kama yangu na yako.