Lowassa kutumia sh bilioni 70 kujenga gorofa 25 Dar City Centre!

samahanini kidogo waungwana nimesoma maoni yenuuuu......yanatia uchungu ghadhabu,ila nimeona hakuna suluhisho,tuna data /taarifa nzuri sana ,vidhibiti,lakini hakuna tulichoweza kuwafanya,.............................apart from that nimeingia kwenye program moja encata nikajaribu kuangalia alipata hizo hela kwa mda gani kama alikua mjasilia mali wa kawaida,yaani kama alisave 10milion kila mwezi alitumia miaka 2000 kuipata 70billion,.....kama alisave 100milion kila mwezi alitumia miaka 205,/sasa atalipa kiasi gani kila mwezi kumaliza hilo deni changanya na riba,........hizi fedha ni nyingi mno hatuwezi kumfanya chochote wakati wengine tunalala na njaa/tungemshauri tu atujengee hata viwanda basi uchumi uwe ahueni......................Tanzania ni nchi inayoongoza na rushwa Mapinduzi mpaka wote tuamue kwenye sanduku la VOTE/LABDA NDILO TUNALOWEZA.....................NI YA KWANGU HAYO

Mimi ni engineer by professional.
Najua kitu kimoja kikubwa kwamba system yeyote ile duniani iwe imara kiasi gani ni lazima iwe na weakness moja kubwa sana ambayo ni sambamba na uimara wake.
Tunahangaika sana kutafuta namna ya kudeal na MATOKEO na tunasahau kabisa kwamba MATOKEO yametokana na CHANZO.
Tukitaka kuwamaliza wezi wote nchini Tanzania ni lazima tuweke wazi maisha yao yote kuanzia siku walipozaliwa hadi hapo walipo.
KWa kuanza tu ni lazima tufuungue THREAD ya Fisadi mmoja mmoja katika wale 11 na kuelezea wasifu wao wote,watu wote wenye uhusiano nao, udhaifu wao wakiwa watoto wadogo,shule za msingi secondari jeshini na makazini.
Kule JKT enzi zile wakati wa somo la MBINU ZA MEDANI MM walitufundisha kwamba huwezi kupambana na kumshinda adui usiye mjui.
Kujua kwamba Lowassa ameiba bila kumjua Lowassa ni udhaifu mkubwa Lupia zitapenyezwa hapo.
Habari nyingi za siri tuzipatazo hapa JF na magazetini ni matokeo ya watu wenye juhudi kung'amua udhaifu mdogo wa mafisadi. Siku udhaifu mkuu ukiwekwa wazi hata mlio wa kondom inayopasuka unatosha kuwatia jamba^2 Mafisadi na kuwatia kiguu na njia.
 
kila madudu yanayotendeka leo, utagundua kuwa yasingetokea kama tungekuwa na katiba yenye kutoa suluhisho ya matatizo hayo, kwa pamoja tudai katiba yenye uwezo wa kuwawajibisha viongozi wezi.
 
FILES X

The Swiss banks retains the money when African leaders dies. When Samuel Doe, the late Liberian President, was asked by his captors to reveal his overseas bank account. He said to them: "I won't tell you. You are going to kill me anyway." Doe died without revealing his Swiss bank account and Liberian money became Swiss money.
Sani Abacha and former Nigerian military dictators ran the Central Bank of Nigeria as if it was their own private bank accounts. It is now reported that Sani Abacha has 2.2 billion dollars ($2,200,000,000) in his Swiss bank account. Abacha's widow is one of the richest women in the world. It is her moral duty to return or re-invest her husband's money in Nigeria. If Mrs. Abacha re-invests her money in Nigerian bank accounts, it could be loaned and used to develop the nation. The unfortunate part is that the small percentage of capital flight that comes back is classified as foreign direct investment, instead of as repatriated money, which means that the owners can now legitimately take the interest and dividends out of Africa again.
During his five-year rule, $12 to $16 billion was transferred from Nigeria to the private accounts of his family and ministers.
It will be impossible to reduce capital flight without first reducing corruption.

How is capital diverted overseas? [NAMNA TUNAVYOIBIWA!!!]
Sani Abacha sent his money abroad by over-invoicing imports and under-invoicing exports. On the average, imports to Nigeria are over-invoiced by more than 30 per cent. In other words, for every dollar Nigeria spends on importation of goods and services, more than 30 cents leaves the country as capital flight. Four times more capital leaves the continent from falsification of prices than from the ten percent kick-backs extorted from government contractors.
After Sani Abacha died, it was discovered that he collaborated with two of his ministers (Finance --- Anthony Ani, and of Power and Steel --- Bashir Dalhatu) to embezzle $2.5 billion under the pretext that it will be used to refinance a giant steel complex. Instead of financing the steel mill, the $2.5 billion was transferred from the Central Bank of Nigeria to their private bank accounts in London.
For the latter reasons, African nations should establish an independent Central Bank which, in turn, will make it more difficult for corrupt officials to repatriate money to their Swiss bank accounts. It was the extraordinary access to government funds that made it possible for Mobutu and Abacha to become billionaires
 
mwacheni bana..Kila siku maneno tu ,umaskini kitu kibaya sana..Yaani badala ya kuwaza utapataje hela we unakazi ya kujadili Lowassa kafany anini..binafsi simpendi Lowassa ila sasa mmezidi kumsema bana

sijakuelewa kabisa!
Umesimamia upande upi na uelewa wako ktk maada husika ni kina gani.
Kwahyo unataka tusiuhoji ufedhuri wa EL? sawa cc ni masikini wa nchi hii +mpendwa wetu Hayati Mwl Nyerere ni lazima tuendelee kuhoji mali za huyu NyweleChokaa. Kama kweli hii ishu ni umaskn wetu kuendelea kumsakama km uonavyo ww basi ajtokeze kweupe atuelezee chanzo cha utajiri wake.
Wewe na wenzio wengi mishale ya saa zenu inarudi nyuma.. Hamjui tunacholilia cc wazalendo wa Taifa hili ila ipo siku Sauti zetu zitaskika.
 
Bado wakati tunabidiisha kujadiliana hapa, naona wazo la Madela wa- Madilu ni kuntu kabisa. yaani tuangalie chanzo na whereabouts zake tangu day one inayojulikana.
Bali pia mpaka usiku huu, Wasanii hatujachoka maana bado Nyumba ya Sanaa haijaporomoshwa rasmi chini. naamini kuna kitu kinaweza kufanyika kuzuia hiyo hali na kuirejesha kwenye mikono salama. Bado juhudi za kuzuia zinafanyika
hakuna kulala.

Kama kuna mdau hapa mwenye nia njema anaweza kuunga mkono juhudi hizi kwa kuwasiliana na ngazi husika kupiga stop kinachoendelea iwe hivyo basi. Kwa pamoja twaweza.
 
FILES X

The Swiss banks retains the money when African leaders dies. When Samuel Doe, the late Liberian President, was asked by his captors to reveal his overseas bank account. He said to them: "I won't tell you. You are going to kill me anyway." Doe died without revealing his Swiss bank account and Liberian money became Swiss money.
Sani Abacha and former Nigerian military dictators ran the Central Bank of Nigeria as if it was their own private bank accounts. It is now reported that Sani Abacha has 2.2 billion dollars ($2,200,000,000) in his Swiss bank account. Abacha's widow is one of the richest women in the world. It is her moral duty to return or re-invest her husband's money in Nigeria. If Mrs. Abacha re-invests her money in Nigerian bank accounts, it could be loaned and used to develop the nation. The unfortunate part is that the small percentage of capital flight that comes back is classified as foreign direct investment, instead of as repatriated money, which means that the owners can now legitimately take the interest and dividends out of Africa again.
During his five-year rule, $12 to $16 billion was transferred from Nigeria to the private accounts of his family and ministers.
It will be impossible to reduce capital flight without first reducing corruption.

How is capital diverted overseas? [NAMNA TUNAVYOIBIWA!!!]
Sani Abacha sent his money abroad by over-invoicing imports and under-invoicing exports. On the average, imports to Nigeria are over-invoiced by more than 30 per cent. In other words, for every dollar Nigeria spends on importation of goods and services, more than 30 cents leaves the country as capital flight. Four times more capital leaves the continent from falsification of prices than from the ten percent kick-backs extorted from government contractors.
After Sani Abacha died, it was discovered that he collaborated with two of his ministers (Finance --- Anthony Ani, and of Power and Steel --- Bashir Dalhatu) to embezzle $2.5 billion under the pretext that it will be used to refinance a giant steel complex. Instead of financing the steel mill, the $2.5 billion was transferred from the Central Bank of Nigeria to their private bank accounts in London.
For the latter reasons, African nations should establish an independent Central Bank which, in turn, will make it more difficult for corrupt officials to repatriate money to their Swiss bank accounts. It was the extraordinary access to government funds that made it possible for Mobutu and Abacha to become billionaires
Mikael,

Tunapiga kelele na Lowassa kwamba kaiba, tukijua 100% namna alivyoiba hatutapiga kelele tutachukua hatua.

Kuna vijana ndani ya BOT Wizara ya Fedha Usalama wa Taifa Ikulu nk wanaotumiwa kama ya ndani kufanikisha wizi huu, na wanatucheka sana na kelele zetu mbuzi hapa jamvini.
Waziri mkuu hawezi kuiba pekee yake ana watu wanaomsaidia kuiba, wengi wao wamepata kuja hapa JF na kupiga Ukelele wa aina yake na majigambo mengi kumsifia Nunda wao.Kisha wakitundikwa mikuki ya hoja hao wanayoyoma kwa maumivu.

Kama Gogo humalizwa kwa bandu bandu ili kujua nyenzo ya kubandua gogo ni lazima tuangalie trail ya kila bandu.

Ukianza kufuatilia maisha ya watumishi wa serikali wasio tajwa kwenye ufisadi lakini wana pesa kibao mwisho wake utaona connection ya Utajiri wao ni kwenye ufisadi mkuu tunao imba nao kila siku.

Lowassa si tatizo tatizo ni waunganishaji ambao hawajatajwa majina. Ukianza kumfuatilia Lowassa moja kwa moja wala hufiki mbali kuna vijamaa vimejua kubadili na kumechisha nguo za ndani na viatu juzi^2 tu, vitahakikisha huendi mabali na ikibidi vinakunyofoa roho yako na kuiseta.

Kuna School mate wangu kadhaa enzi zile Kule Tosa kwa Marehemu DUDU kwa kukadiria tu wana nyumba zaidi ya 200 hapo dar, acha zilizoko Arusha na Mwanza. Kuna wakati miaka ile ya 90 na kitu mtu alikua akijenga nyuma 10 kwa mara moja. Siongelei vibanda vya Sinza.
 
The Kenya Thieves Politicians Worthyness:
Moi & family ($1.2 billion)
Kenyatta’s ($400 million)
Biwott ($700 million)
Saitoti ($100 million)
Kibaki ($ 100 million)
Michuki ($100 million)
*Awori ($5 million;
 
TANZANIA NI NCHI PEKEE AMBAYO KWA UNAFIKI WETU HATUNA LIST YA MATAJIRI ....KWA SABABU WATU WENGI UTAJIRI WAO HAUNA SABABU ZA KIHASIBU ...WATU WENGI INAONEKANA WANAKWEPA KODI NA NDIO MAANA NI NGUMU KUJUWA NANI ANAMILIKI NINI ZAIDI YA HISIA....
WENZETU UGANDA WAMENIFURAHISHA KITU KIMOJA LIST YA MATAJIRI KWENYE KILA CATEGORY SIO SIRI...NA WAANAELEZA NA CHANZO ....NA KIZURI WENGI WAO NI WAGANDA TENA WEUSI!!




The New Money Class
Name
Sources of wealth
Alooni Mwagalwa

Luweero
School, Beer distribution
Aggrey Tumukye

Mbarara
Real estate, Hotels
Kyomuhendo Amooti

Fort Portal
Minerals
Acaali Kobusingye

Fort Portal
Real estate
Ali Halari Kamru

Kampala
Transportation
Amina Moghe Hersi

Kampala
Real Estate, Shopping Malls, Hotels, Hardware Stores[3]
Bernard Ogwang Ocwoo

Lira
Hospitals, Construction, Food distribution
Bosco Ogwang Edola

Lira
Hotels, Petrol stations, Timber
Charles Muhangi

Mbarara
Transportation
Chris Kafule

Kampala
Beer distribution, Real estate
Drake Lubega

Kampala
Real estate
Elisha Kakyomya

Fort Portal
Real estate, Tea estates
Emmanuel Amaza

Adjumani
Construction, Hotels
Felix Orii

Adjumani
Beer and soda distribution
Francis Magezi

Kampala
Finance
Fred Akampumuza

Kampala
Real Estate
George Atyam

Kabale
Real estate, Beer distribution
George Kahwa

Fort Portal
Hotels, Night clubs
George Kermudu Adubango

Nebbi
Construction, Real estate
George Namachi

Busia
Real estate
Glueport Sande

Fort Portal
Real estate, Transportation
Haruna Musiwa

Mbale
Finance, Real estate, Beer distribution
Herman Kigoye MD

Masaka
Real estate, Medical services, Pharmaceuticals, Medical supplies
Johnson Ocol

Lira
Petrol stations, Petroleum transportation, Real estate
Josephine Kizza

Masaka
Farming
Kakanyero

Gulu
Real estate, Hotels
Kayonza

Kampala
Real estate, Transportation, Beer distribution
Michael Awany

Lira
Real estate, Petrol stations
Moses Kalungi

Kampala
Real estate
Moses Kyatwoha

Bushenyi
Petrol stations
Olet Elyak

Lira
Manufacturing, Construction, Transportation, Real estate
Omar Mandela

Kampala
Automobile parts, Real estate
Patrick Lucky

Fort Portal
Transportation
Phillip Mangeni Aremo

Busia
Real estate, Hotels, Beef distribution
Sarah Kiyimba

Masaka
Hotels
Sebastian Munulo

Iganga
Hotels
Stephen Mugasa

Fort Portal
Real estate, Newspaper distribution
Steven Njubi

Iganga
Real estate, Schools
Sulaiman Mafabi Lumolo

Mbale
Automobile dealership
Timothy Jokkene

Gulu
Petrol station
Tonny Rutakirwa

Kampala
Awaken the financial genius in you Tonniez Invesco Inc
Apollo Ntegamahe

Kabale
Transportation,
Amina A Peace

Kampala
Real estate

The Young Entrepreneurs
Name
Sources of wealth
Alan Shonubi

Kololo
Legal services, Real estate
Andrew Rugasira

Kampala
Entertainment, Coffee processing
Arthur Busingye

Kampala
Entertainment, Real estate, Import/Export
Charles Odere

Kampala
Legal services, Hotels
Charlie Lubega

Kampala
Entertainment, Real estate
Crescent Baguma

Fort Portal
Construction
Edwin Karugire

Kampala
Legal Services
Elvis Sekyanzi

Kampala
Entertainment, Broadcasting, Night clubs
Agaba Noel

Nakasero
D.J
Mutyaba E

Nakasero
D.J
Isaac Mulindwa

Kampala
Entertainment, Construction, Broadcasting
Ivan Batuma

Kabale
Hotels, Real estate
Halima Wakabhu

Fort Portal
Schools
James Nyakuni

Arua
Transportation, Real estate
Jitu Parma

Kampala
Construction materials
Kenneth Kizza

Kampala
Telecommunications
Kiryowa Kiwanuka

Kampala
Legal services
Nina Karugaba

Kampala
Interior designing, Real estate
Peter Maganda

Kabale
Petrol stations, Real estate
Peter Sematimba

Lubaga
Broadcasting
Robina Bwita

Fort Portal
Hotels
Sylvia Awori

Kampala
Fashion designs, Real Estate, Publishing
Tonny Rutakirwa

Kampala
Investments, Finance, Services, Real Estate
Samuel Sejjaka

Kololo
Accounting, Real Estate

The Executive Class
Name
Sources of wealth
Allen Kagina

Kampala
Uganda Revenue Authority
Anatoli Kamugisha

Lubowa
Akright Projects Limited, Real estate
Baker Magunda

Kampala
Uganda Breweries Limited
Conrad Nkutu

Kampala
The Monitor Newspaper
Charles Hamya

Kampala
Multichoice Limited, Real estate
Emmanuel Tumusiime-Mutebile

Kampala
Bank of Uganda
Ivan Kyayonka

Kampala
Shell Oil
Maggie Kigozi

Kampala
Uganda Investment Authority
Mariam Luyobo

Kampala
Taibah Schools
Martin Bandebire

Kampala
NSSF
Martin Drito

Kampala
Drito Global Corp, Mining, Logging
Richard Byarugaba

Kampala
National Social Security Fund (Uganda)
Tom Mugenga

Kampala
Transportation, Clearing/Forwarding
William Kalema

Kampala
Consulting, Investments
William Muhairwe

Kampala
National Water and Sewerage Corporation
Eliezah Titus

Kampala
The Eliezah Group of Company, Mining, Real estate

The Expatriates
Name
Sources of wealth
A. R. Kalan

Kampala
Crane Bank
David Njoroge

Kasese
Hima Cement Limited
Dr. Ian Clarke

Kampala
International Medical Group
Themba Khumalo

Kampala
MTN Uganda
Phillip Odera

Kampala
Stanbic Bank
William Pike

Kampala
Broadcasting, Real Estate

The Pastors
Name
Sources of wealth
Cyprian Bamwoze

Kamuli
Church of Uganda
Gary Skinner

Kampala
Watoto Church
Imelda Namutebi

Kampala
Liberty Worship Center
K. L. Dickson

Fort Portal
World Evangelical Ministries, Schools
Robert Kayanja

Kampala
Miracle Centre Cathedral

The Old Money Class
Name
Sources of wealth
Ben Okiror

Soroti
Kakiase Enterprise Limited
Bonny Katatumba

Kampala
Airlines, Real estate[4]
Cranmer Kaaya

Luweero
Ranching
Ezekiel Balaba

Kabale
Real estate, Logging
Gordon Wavamunno

Munyonyo
Automobile dealerships, Broadcasting, Real estate, Insurance
Jaberi Bidandi Ssali

Kampala
Real estate, Entertainment, Restaurants
James Mulwaana

Kampala
Dairy farming, Manufacturing, Horticulture, Real estate, Plastics
John Batuma(R.I.P)

Kabale
Dairy farming, Investments
John Kulubya

Kampala
Real estate
John Ssebaana Kizito

Kampala
Real estate, Insurance
Alykhan Kharmali

Kampala
Mukwano Group
The Ahmed Brothers

Arua
Transportation, Real estate
The Hared Family

Jinja
Petrol stations
The Kasoma Family

Luweero
Real estate, Coffee processing, International Trade
The Madhvani Family
200 million+
Kakira
Manufacturing, Electricity Generation, Agribusiness, Hotels & Resorts, Insurance, Construction
The Mehta Family
350 million+
Lugazi
Manufacturing, Agribusiness, Insurance, Steel
Andrew Kawamara

Fort Portal
Diplomat
Patrick Okumu Ringa

Nebbi
Automobile dealerships, Real estate
Rainer Kohler

Kampala
Construction (Roko Construction Limited)
Rose Rohrer

Kampala
Construction (Roko Construction Limited)

The Super Rich
Name
Sources of wealth
Aga Sekalaala

Kasangati
Poultry farming
Amos Nzeyi

Kampala
Real estate, Banking, Bottling, Bakery, Hotels
Aya Brothers
100 million+
Kampala
Hotels, Flour milling, Transportation, International Trade
Karim Hirji

Kampala
Imperial Hotels Group, Investments
Bob Kabonero

Kampala
Casinos
Bulaimu Muwanga Kibirige

Kampala
Hotel Africana, Real estate, Motorcycles, Construction Equipment, Foreign Exchange Bureaus
Charles Mbire

Kololo
Telecommunications, Banking, Pharmaceuticals, Fish farming, Investments, Power generation, Railways.
Elly Karuhanga

Kampala
Legal services, Investments
Godfrey Kirumira

Kampala
Real estate, Hotels
Hassan Basajjabalaba

Kampala
Universities, Schools, Real estate, Skins & Hides, Hotels
Isabirye Mugoya

Kampala
Real estate, Construction
Joseph Zziwa Roy

Kampala
Airlines, Real estate, Ranching, Ziwa Rhino Sanctuary
Kibukamusoke R

Kampala
Investments, Real estate
Martin Aliker

Kampala
Investments
Mohan Kiwanuka

Kampala
School supplies, Printing, Real Estate
Muhammed Alibhai

Kampala
Bodyguards, Security guards, Investments
Mukesh Shukla

Kampala
Real estate, Hotels[5]
Patrick Bitature

Kampala
Telecommunications, Hotels, Banking, Insurance, Resorts.
Sikander Lalani

Kampala
Roofing materials (Roofings Uganda Limited)
Sudhir Ruparelia

Kampala
Ruparelia Group

SOURCE: Uganda revenue authority
 
du jamani unajua tunapokwenda hakufai kama watu wangawana tanzani afu wenye nchi wanaeneza sera za udini kumbe wao ndiyo chanzo cha matatizo na ndiyo maana sehemu nyingi alizoshinda alitumia idini afu leo anasema udini wewe mh dhwmbi hiyo
 
Sijajua wasanii walikuwa na uhalali gani wa umiliki na kwa % ngapi ila nadhani nafasi yao bado itakuwepo. Ghorofa 25 utafanya nazo nini zote? Watapewa nao floor zao
 
Sijajua wasanii walikuwa na uhalali gani wa umiliki na kwa % ngapi ila nadhani nafasi yao bado itakuwepo. Ghorofa 25 utafanya nazo nini zote? Watapewa nao floor zao
Huna ubongo wewe. Jengo ni la wasanii, wamejengewa na kurithishwa halafu wewe unauliza walikuwa na uhalali gani wa umiliki??? NITAKUTUKANA bure wewe!!!
Mtoto kaachiwa urithi na mzazi wake halafu unamuuliza ana uhalali gani wa kumili huo urithi?? hebu rudi darasani ukajifunze namna ya kuongea na wazee.

nafasi yao itakuwepo.... wewe ndo property manager wa jengo hilo?? unajua thamani na design ya jengo linalotaka kuvunjwa pale???? kuna artifacts kwenye ujenzi wake na hazipatikani popote duniani.
 
Another tale is of GeneRal Sani Abacha....he died of viagra overdose.....value ya pesa na dhahabu zake zilizokuwa swiss ...zinafikia dola bilioni 300..[rushwa ya mafuta hiyo]....you can google kuona kuhusu abacha....sio serikali yake wala familia yake ambayo hadi leo wameambulia senti kwenye hizo pesa......
Sometimes wazungu wanapotusamehe madeni nahisi wanatuonea huruma wanaamua kuturudishia sehemu ya pesa zetu huko kwao kwa mlango wa nyuma......kwa kuwa wanajuwa there is no way we can claim them anyway........lakini sana sana mapesa ya viongozi wajinga wengi wao waaafrika ndio wanatumia kukopeshea wateja wao kwakuwa sisi hatuna kazi nazo...........au wakipenda wanatupa tena sisi soft loans....hawatupendi jamani wanajuwa wameshatunyonya sana!!!
JIfunze kuto exaggerate.Unaijua dola bilioni 300!! Hata King Abdullah Bin Abdulaziz wa Suadi Arabia ambaye ananufaika kwa kiasi kikubwa na mafuta na wanazalisha zaidi ya Naigeria hawezi kufikia hata robo ya huo utajiri.
 
.............. Nchi hii ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere itapona kweli?[/COLOR]

Hapa ndio umeharibu katika post yako. Kama hii nchi ni ya mwalimu, na mwalimu alishafariki basi mwache lowasa afanye vitu vyake. maana mwenye nchi alishakufa. imebaki kwa nani tena???Unaweza kudhani sijui ninachoandika, lakini nina akili timamu, and I mean what I saying.
 
mwacheni bana..Kila siku maneno tu ,umaskini kitu kibaya sana..Yaani badala ya kuwaza utapataje hela we unakazi ya kujadili Lowassa kafany anini..binafsi simpendi Lowassa ila sasa mmezidi kumsema bana

ni kweli! cha kuhuzunisha zaidi ni kwamba, kampuni tajwa inamilikiwa na wasomali.... simsemei EL lakini hata kama ana hisa hawezi kuwa mjinga kiasi hicho. Kwa watu wenye akili, watafuatilia gazeti lenyewe (dira) any way, ni vile vita vinaendelea.
 
Huyu mtu jamani anayo ela ya kutisha na akisema kakopa bank bc tu ni kujidefend but hyo ela cyo ya bank its his own cash!!! and let hm invest weee unafikiri ela iliyopatikana richmond ni kidogo? hv ni vijisent tu bado account inasoma mbaya kabisa!! aendelee tu kuwekeza hapa bongo
 
I wish atatokea J K Nyerere mwingine ataifishe hayo majumba na mali zote kwani ni zetu,waswhili wasema samaki mkaange kwa mafuta yake mwenyewe ndio anoga,hiyo ndiyo inatokea kwa kutukaanga kwa fedha zetu, msubiri atie mguu 15 kutaka kuingia patakatifu ndiyo atatujua wa TZ tukoje:hungry:
 
Back
Top Bottom