MyTanzania
Senior Member
- Sep 9, 2008
- 106
- 8
Habari wan JF.
Kuna suala moja ambalo ningependa kulileta ndani ya JF ili wadau mlitolee maoni yenu.Jana nilikuwa naangalia habari kutoka channel moja ya hapa nchini Rais alikuwa Monduli katika shughuli ya kijeshi ambapo niliona Viongozi wa JWTZ wakimpigia saluti Mr. Lowassa.
Hivi itifaki inaruhusu mtu aliyeondoka madarakani kwa namna ya Lowassa kupigiwa saluti na wakuu wa jeshi?
Au alipigiwa kama waziri mkuu mstaafu?
Kweli Lowassa ni anastahili hadhi ya uwaziri mkuu mstaafu?
Au alipigiwa kwa hadhi ya ubunge?(If at all wabunge wanastahili saluti)
Maswali ni mengi hayana majibu kwa suala la huyu bwana,naomba wana JF mnielimishe kwa hilo kwani kwa mtazamo wangu naona si sahihi.
Kuna suala moja ambalo ningependa kulileta ndani ya JF ili wadau mlitolee maoni yenu.Jana nilikuwa naangalia habari kutoka channel moja ya hapa nchini Rais alikuwa Monduli katika shughuli ya kijeshi ambapo niliona Viongozi wa JWTZ wakimpigia saluti Mr. Lowassa.
Hivi itifaki inaruhusu mtu aliyeondoka madarakani kwa namna ya Lowassa kupigiwa saluti na wakuu wa jeshi?
Au alipigiwa kama waziri mkuu mstaafu?
Kweli Lowassa ni anastahili hadhi ya uwaziri mkuu mstaafu?
Au alipigiwa kwa hadhi ya ubunge?(If at all wabunge wanastahili saluti)
Maswali ni mengi hayana majibu kwa suala la huyu bwana,naomba wana JF mnielimishe kwa hilo kwani kwa mtazamo wangu naona si sahihi.