Nyerererist
JF-Expert Member
- Oct 1, 2007
- 438
- 5
kweli hiyo ni ndoto ya mchana hawezi kuhama chama maana hata yeye anajua kitachomtokea..... lakini tetesi hizi kama niza kweli basi achukue experience kwa Mrema kwanza kabla hajaendelea
Kuna tetesi zimeenea kwamba Mh E Lowassa asipo pewa channel ya madaraka tena huenda akajitoa CCM na kujizatiti kwa ajili ya 2010 au 2015...leteni habari zaidi
Hana ujanja wa kukimbia ccm watabanana hapohapo mpaka kieleweke,unafikiri hajui yaliyowakuta waliotangulia.sisi tumjadili kwa ufisadi wake ili hatua za kisheria zichukuliwe dhidi yake na wale wote walihusika ktk kufanya maisha yetu yazidikuwa magumu.
Kuna tetesi zimeenea kwamba Mh E Lowassa asipo pewa channel ya madaraka tena huenda akajitoa CCM na kujizatiti kwa ajili ya 2010 au 2015...leteni habari zaidi