Lowassa: Kuitwa gamba, fisadi kuliniondoa CCM

assadsyria3

JF-Expert Member
Apr 9, 2013
6,904
4,050
Wakati akiongea na vyombo vya habari, Lowassa amesema aliondoka CCM na kujiunga na CHADEMA kwa sababu ya kusakamwa kwa maneno ya kejeli, vijembe na vitisho na kuitwa gamba na fisadi.

Lowassa alisema licha ya kuitumikia CCM kwa zaidi ya miaka 30 tangu mwaka 1977, chama hicho kiliamua kutumia watu kumsakama kwa kila aina ya maneno jambo ambalo lilimfanya pia achoke na kuamua kuondoka CCM.

‘’Ninakifahamu Chama cha Mapinduzi, ninakiheshimu kwani ndicho kilichonilea lakini kwa hali tuliyokuwa tumefikia, inafika mahali unasema imetosha,’’ Alisema Lowassa.

Alisema sababu nyingine iliyomfanya kuondoka CCM ni kutaka mabadiliko na aliamini mabadiliko ya kweli yatapatikana nje ya CCM.

Lowassa alidai kuwa kama si kura kuchakachuliwa alikuwa na nafasi kubwa ya kushinda kwa sababu wananchi walishaichoka CCM na wakawa wanataka mabadiliko.

Alisema ana marafiki ndani ya CCM ambao walimsaidia wakati wa Uchaguzi ambapo baadhi yao walitishwa na utawala na kuamua kujiweka kando kwa ajili ya usalama wao.

Alienda mbele zaidi na kusema, kwa namna yoyote ile kamwe hana mpango wa kurudi CCM na kudai jukumu lililopo mbele yake kwa sasa ni kuijenga CHADEMA ili ishike dola.
 
KilichomwondoA CCM sio kuitwa gamba.Aliitwa Gamba sana tu akiwa CCM hakuondoka.Kilichomwondoa CCM ni baada ya Jina lake Kukwatwa asiwe mgombea Uraisi CCM.Mzee Lowasa kweli anapoteza kumbukumbu.Akawadanganye CHADEMA.PANGA LA KUMKATA LILIPOPITA NDIO AKATIMKA MKUKU KUKIMBILIA CHADEMA.Lowasa wanasema hawezi kukimbia hana mbio lakini lilipokatwa jina CCM mbio alizokimbia kwenda CHADEMA sijawahi ona.Angeweza pata hata medali ya OLYIMPIC
 
Wakati akiongea na vyombo vya habari, Lowassa amesema aliondoka CCM na kujiunga na CHADEMA kwa sababu ya kusakamwa kwa maneno ya kejeli, vijembe na vitisho na kuitwa gamba na fisadi.

Lowassa alisema licha ya kuitumikia CCM kwa zaidi ya miaka 30 tangu mwaka 1977, chama hicho kiliamua kutumia watu kumsakama kwa kila aina ya maneno jambo ambalo lilimfanya pia achoke na kuamua kuondoka CCM.

‘’Ninakifahamu Chama cha Mapinduzi, ninakiheshimu kwani ndicho kilichonilea lakini kwa hali tuliyokuwa tumefikia, inafika mahali unasema imetosha,’’ Alisema Lowassa.

Alisema sababu nyingine iliyomfanya kuondoka CCM ni kutaka mabadiliko na aliamini mabadiliko ya kweli yatapatikana nje ya CCM.

Lowassa alidai kuwa kama si kura kuchakachuliwa alikuwa na nafasi kubwa ya kushinda kwa sababu wananchi walishaichoka CCM na wakawa wanataka mabadiliko.

Alisema ana marafiki ndani ya CCM ambao walimsaidia wakati wa Uchaguzi ambapo baadhi yao walitishwa na utawala na kuamua kujiweka kando kwa ajili ya usalama wao.

Alienda mbele zaidi na kusema, kwa namna yoyote ile kamwe hana mpango wa kurudi CCM na kudai jukumu lililopo mbele yake kwa sasa ni kuijenga CHADEMA ili ishike dola.
 
Lowassa bado anaendelea na usanii wake. Anajaribu kudanganya kwa nguvu!

Kusema aliondoka CCM kwa sababu ya kuitwa fisadi na gamba ni kuwafanya watanzania kama wajinga!

Lowassa aliondoka CCM kwa sababu jina lake lilikatwa na kama lisingekatwa, leo hii angekuwa bado ni mwanachama hai wa CCM.

Hata hivyo nimpongeze Lowassa kwa kuwa na vision ambayo inachagizwa na fani yake ya usanii.

Baada ya kukatwa jina lake ndani ya CCM na ndoto zake za kuwa Rais wa Tanzania kwa tiketi ya CCM zikayeyuka. Aliamua kupiga ndege wawili kwa kutumia jiwe moja.

Kwanza, aliamua kujiunga CHADEMA ili wamsafishe na kulitua zigo la kuitwa fisadi ambalo wao wenyewe CHADEMA walimtwika kwa zaidi ya miaka minane.

Pili, Kwa kulishusha zigo ambalo walimtwika, aliwapa pia Viongozi wa CHADEMA kazi ya kumnadi kwa Watanzania ili wamchague kuwa Rais wa Tanzania.

Kazi hiyo ya kumsafisha mpaka sasa wanaendelea nayo!
 
Wakati akiongea na vyombo vya habari, Lowassa amesema aliondoka CCM na kujiunga na CHADEMA kwa sababu ya kusakamwa kwa maneno ya kejeli, vijembe na vitisho na kuitwa gamba na fisadi.

Lowasa Mwongo.

KilichomwondoA CCM sio kuitwa gamba.Aliitwa Gamba sana tu akiwa CCM hakuondoka.Kilichomwondoa CCM ni baada ya Jina lake Kukwatwa asiwe mgombea Uraisi CCM.Mzee Lowasa kweli anapoteza kumbukumbu.Akawadanganye CHADEMA.PANGA LA KUMKATA LILIPOPITA NDIO AKATIMKA MKUKU KUKIMBILIA CHADEMA.Lowasa wanasema hawezi kukimbia hana mbio lakini lilipokatwa jina CCM mbio alizokimbia kwenda CHADEMA sijawahi ona.Angeweza pata hata medali ya OLYIMPIC
 
Lowasa ni msafi mpaka hapo mungu kadhibitisha. Mwisho wa mnafiki ni aibu wapumbavu wanaomba pombe amgushe wafanye sherehe hata kwa kukopa pombe nae amekosa sababu coz anajua usafi wa lowasa. Lowasa kwa kutumia akili kumemsaidia sana kupanga mambo yako. Majizi ya lumumba mungu kawagusa kunako mtakufa na unafiki wenu.
 
KilichomwondoA CCM sio kuitwa gamba.Aliitwa Gamba sana tu akiwa CCM hakuondoka.Kilichomwondoa CCM ni baada ya Jina lake Kukwatwa asiwe mgombea Uraisi CCM.Mzee Lowasa kweli anapoteza kumbukumbu.Akawadanganye CHADEMA.PANGA LA KUMKATA LILIPOPITA NDIO AKATIMKA MKUKU KUKIMBILIA CHADEMA.Lowasa wanasema hawezi kukimbia hana mbio lakini lilipokatwa jina CCM mbio alizokimbia kwenda CHADEMA sijawahi ona.Angeweza pata hata medali ya OLYIMPIC
Wacha wee
 
Lowasa Mwongo.

KilichomwondoA CCM sio kuitwa gamba.Aliitwa Gamba sana tu akiwa CCM hakuondoka.Kilichomwondoa CCM ni baada ya Jina lake Kukwatwa asiwe mgombea Uraisi CCM.Mzee Lowasa kweli anapoteza kumbukumbu.Akawadanganye CHADEMA.PANGA LA KUMKATA LILIPOPITA NDIO AKATIMKA MKUKU KUKIMBILIA CHADEMA.Lowasa wanasema hawezi kukimbia hana mbio lakini lilipokatwa jina CCM mbio alizokimbia kwenda CHADEMA sijawahi ona.Angeweza pata hata medali ya OLYIMPIC
Lowassa anashangaza sana!
 
Lowassa bado anaendelea na usanii wake. Anajaribu kudanganya kwa nguvu!

Kusema aliondoka CCM kwa sababu ya kuitwa fisadi na gamba ni kuwafanya watanzania kama wajinga!

Lowassa aliondoka CCM kwa sababu jina lake lilikatwa na kama lisingekatwa, leo hii angekuwa bado ni mwanachama hai wa CCM.

Hata hivyo nimpongeze Lowassa kwa kuwa na vision ambayo inachagizwa na fani yake ya usanii.

Baada ya kukatwa jina lake ndani ya CCM na ndoto zake zake za kuwa Rais wa Tanzania kwa tiketi ya CCM zikayeyuka. Aliamua kupiga ndege wawili kwa kutumia jiwe moja.

Kwanza, aliamua kujiunga CHADEMA ili wamsafishe na kulitua zigo la kuitwa fisadi ambalo wao wenyewe CHADEMA walimtwika kwa zaidi ya miaka minane.

Pili, Kwa kulishuka zigo ambalo walimtwika, aliwapa pia Viongozi wa CHADEMA kazi ya kumnadi kwa Watanzania ili wamchague kuwa Rais wa Tanzania.

Kazi hiyo ya kumsafisha mpaka sasa wanaendelea nayo!
Na kama aliamini manadiliko hayawezi kuletwa na CCM nini kilikuwa kinamfanya atafute nafasi ya urais kupitia CCM? kama alikuwa mwana mabadiliko maana yake ni kwamba angetoka mapema CCM kabla ya mchakato, na hayo mabadiliko alokuwa anasema ni yapi wakati yy ndo bingwa wa mafisadi. ni kweli manyumbu ni wengi na ataendelea kuwadanganya sana.
 
Mbona huko alikoenda ndiyo ndiyo walikuwa wanamwita fisadi. Ushahidi wa video za Lema upo wazi. Nadhani amekosa hoja. Ni vyema akatimiza ahadi yake ya kurudi Monduli na kuchunga ng'ombe wake.
 
  • Thanks
Reactions: nao
Magamba povu linawatoka ile mbaya! Kwani ni uongo hawakutumwa watu kumtukana Lowassa?
 
N
Magamba povu linawatoka ile mbaya! Kwani ni uongo hawakutumwa watu kumtukana Lowassa?
kwahyo ccm iliwatuma wakina Lema, Nassar, Mbowe na Dr slaa bila kumsahau lisu ili wamtukane lowasa? Ama maana sielewi
 
lowasa anatufanya watanzania wote tuonekane wajinga, walioanza kumwita lowasa fisadi ni chadema ni kweli ccm ilisema wajivue magamba aliyejivua ni rostam peke yake.Kwenye hotuba yake ya kutangaza nia alisema wanayemwambia yeye atoke ccm wao ndio watangulie.Kutumia kwake rushwa na kutengeneza mtandao ndivyo vitu vilivyowafanya wenye busara ccm wamtose kama kweli alikuwa hakubaliani na hayo angetoka kipindi kile Nyerere anamwengua au alipojiuzulu kwenye kashifa ya richmond
 
Huyu mzee anaeleza kizazi kilichosoma au cha miaka ya 70. Nini kililazimisha kuomba kugombea Urais ndani ya CCM.

Mzee wa maslahi na ndoto za urais.
 
Back
Top Bottom