CCM haifai yote sioyo lowasa sio nani
Nani anafaa ?
CCM haifai yote sioyo lowasa sio nani
Historia yaonesha kwamba ni Wazanzibari tu ndio wanaoweza kufukuzwa CCM. Ona walimfukuza Mansour kwa kupigia debe muundo wa Serikal tatu wakati Bara wanacheza rafu za wazi wazi na kukiuka maadili ya cgama bila kificho lkn hawaguswi KUUMEN NI KUUMENI TU
yaani niNi ngumu kutokea hali kama hiyo
CCm haiongozwi na vitasa kama waliopo Chadema
...funzanani anafaa ?
tetesi kutoka chanzo kimoja kilichopo dodoma katika kikao cha ccm ni kuwa waziri mkuu huyo wa zamani atafutiwa uanachama na hivyo hatagombea urais hapo 2015.
Inasemekana awali wajumbe waliomhoji walipendekeza apewe adhabu ya kutokugombea kwa muda wa miezi 18, jambo ambalo lingemfanya kushindwa kugombea katika uchaguzi ujao.
Naendelea kufuatilia details nitazileta mapema nikithibitisha maana kikao kilikiwa bado kinaendelea.
...funza
Tetesi kutoka chanzo kimoja kilichopo Dodoma katika kikao cha CCM ni kuwa Waziri mkuu huyo wa zamani atafutiwa uanachama na hivyo hatagombea Urais hapo 2015.
Inasemekana awali wajumbe waliomhoji walipendekeza apewe adhabu ya kutokugombea kwa muda wa miezi 18, jambo ambalo lingemfanya kushindwa kugombea katika uchaguzi ujao.
Naendelea kufuatilia details nitazileta mapema nikithibitisha maana kikao kilikiwa bado kinaendelea.
Wakifanya hivyo itakuwa mwisho wa dunia.
Umbeya mwingine bana! Ushindwe na ulegee! Mwacheni mzee wa watu, 'Tetesi kutoka chanzo kimoja kilichopo Dodoma katika kikao cha CCM ni kuwa Waziri mkuu huyo wa zamani atafutiwa uanachama na hivyo hatagombea Urais hapo 2015.
Inasemekana awali wajumbe waliomhoji walipendekeza apewe adhabu ya kutokugombea kwa muda wa miezi 18, jambo ambalo lingemfanya kushindwa kugombea katika uchaguzi ujao.
Naendelea kufuatilia details nitazileta mapema nikithibitisha maana kikao kilikiwa bado kinaendelea.