Lowassa kufutiwa uanachama wa CCM?

Dalili za Balali kuibuliwa huko aliko jichimbia naanza kuziona,hebu wamfukuze haraka kitendawili kiteguliwe!:flypig:
 
Basi wote waliokula ubwabwa wake kule MONDULI waurudishe , maana tetesi zinadai walikubaliana kwamba gharama ya wali ule ni urais !
 
Ila ifike wakati ambapo viongozi wa CCM, wachukue maamuzi magumu maana kuna dharau zingine havumiliki, eti waliohojiwa wanasema yalikuwa kwenye mazungumzo ya kawaida tu, hakuna jipya, kilikuwa kikao cha chai, yaani watu wazima wamekusanyana Dodoma ili kunywa chai. Viongozi wa CCM chukueni hatua kali kwa hao wanachama ili wanachama wengine wakiitwa Dodoma wajue wanakutana na viongozi sio wanywa chai. Vinginevyo kikao kikitoka bila maamuzi magumu tutawaelewa kuwa kweli kilikuwa kikao cha chai ambacho hakina maana yoyote
 
Ila ifike wakati ambapo viongozi wa CCM, wachukue maamuzi magumu maana kuna dharau zingine havumiliki, eti waliohojiwa wanasema yalikuwa kwenye mazungumzo ya kawaida tu, hakuna jipya, kilikuwa kikao cha chai, yaani watu wazima wamekusanyana Dodoma ili kunywa chai. Viongozi wa CCM chukueni hatua kali kwa hao wanachama ili wanachama wengine wakiitwa Dodoma wajue wanakutana na viongozi sio wanywa chai. Vinginevyo kikao kikitoka bila maamuzi magumu tutawaelewa kuwa kweli kilikuwa kikao cha chai ambacho hakina maana yoyote

CCm haiongozwi na vitasa kama waliopo Chadema
 
ccm hawan uwezo huo chadem pke yke ndo kinaweza haya n kwa taarfa yenu wanakalenga tumestkia dili lenu grace ankubalika san jimbon kwetu
 
ila chadema inajamba huku ina harisha tehtehteh

hahahaaa! hakuna uharo CDM ndo maana wakisema wanajamba, wanafanya kweli.
Nyinyiem vitisho vingi:
1. mafisadi wajitathmini na kujivua gamba.. siku 90 Nape
2.wataothibitika walipata uongozi kwa rushwa nitawafukuza.. Mangula
3.tutawafukuza madiwani 8, mara wakawarejesha
4.mawaziri mizigo lazima washughulikiwe
5.
6.

hakuna lolote.
linganisha na CDM
 
Tetesi kutoka chanzo kimoja kilichopo Dodoma katika kikao cha CCM ni kuwa Waziri mkuu huyo wa zamani atafutiwa uanachama na hivyo hatagombea Urais hapo 2015.
Inasemekana awali wajumbe waliomhoji walipendekeza apewe adhabu ya kutokugombea kwa muda wa miezi 18, jambo ambalo lingemfanya kushindwa kugombea katika uchaguzi ujao. Naendelea kufuatilia details nitazileta mapema nikithibitisha maana kikao kilikiwa bado kinaendelea.

Eti? Akajiunge na Zitto? Ngoja tuone.
 
Nini?unauliza swali na unatambua ulicho kikanyaga kinatereza basi kama kwa hisia ni ngumu hata alufu husikii?ccma kwisha habari yaaaaaaakeed
 
Hawawezi kumvua EL,wote wanamwogopa,hata hawawezi kumpa onyo,chezea EDO wewe!!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom