Precise Pangolin
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 12,998
- 6,659
Inaelekea wewe ni mjamzito mbona unataja sana clinic? nenda kwa Ngariba ZeMarcopolo anazalisha vizuri tuuFomu ya Chadema na yakliniki kuna tofauti gani?
Last edited by a moderator:
Inaelekea wewe ni mjamzito mbona unataja sana clinic? nenda kwa Ngariba ZeMarcopolo anazalisha vizuri tuuFomu ya Chadema na yakliniki kuna tofauti gani?
SI unajua mkapa na swahiba wake (baba riz) wanahusika na kuchota mabilioni ya EPA?? Sasa wameofia balali kuletwa nchini! Ehe heee! Na mkapa anahofia kunyanganywa mgodi aliojimilikisha kama CCM ya Baba yake, mbwa wakubwa hawa
Bora ukae kimya tu maana ungezidi kuchafua hewa kwa huu upuuzi wako.
Maswali yako kamuulize mkeo, huku sisi tunafuraha tu hakuna muda wa kujibu maswali ya kipumbavu.
Kuna maswali najiuliza sipati majibu kabisa..
Mchakato wa kumpata mgombea urais wa chadema umetangazwa lini?
Fomu za urais zinachukuliwa na Lowassa peke yake?
Alichokimbia si mchakato mbovu wa kumpata mgombea akiwa ccm?
Kama alikimbia kubanwa nafasi ya kugombea vipi kina Dr Slaa wanaonyimwa haki yao ya Kidemokrasia anawateteaje maana tunaambiwa tatizo ccm ni mfumo, hii anaona ipo sawa ?
Ajenda ya Chadema imekuwa ni kupambana na ufisadi, lowassa atasimamia Ajenda ipi kati ya ufisadi aliyoikuta na aliyotoka nayo ccm ya kuwachukia maskini?
Mkimpeleka kwa wananchi mtakuwa mnampigia kampeni au mtakuwa mnamtetea kwa aliofanya?
Ngojea niishie hapa maana tunaambiwa sisi watu wa mitandaoni ni wapiga kelele sio wapiga kura... Yetu macho!
Kamanda wewe fuata tu maagizo ya Mbowe, atadhalilishwa na nani wakati katoa fedha zake unadhani haya yote yanatokea ni bahati mbaya.Habr za uhakika ni kuwa EL atadhalilishwa na ndo utakuwa mwisho wake kwa kikatwa jina mara ya pili! Cjuhi ataelekea ACT!
Mkubwa tunahtaji kauli ya SLAA, SUGU, MNYIKA, WENJE, MSIGWA, LISSU.
ILI TUJUE TUNACHOMA KADI AU VP.
Watachukuwa na Dr.Slaa halafu Dr.Slaa atakatwa.Khaa!! Ina maana anachukua peke yake?? :glasses-nerdy:
CV kubwa ya mamvi ni PESA. Kapata wapi? Siyo jukumu lako. Atarudishaje? Hiyo haikuhusu. Angalau kuna watu watabaki na heshima yao kwa KUMKATA FISADI MWENYE TAMAA YA MADARAKA NA FEDHA :glasses-nerdy:Hivi ni kweli Chadema, Cuf,NCCR - MAGEUZI na NLD Hatuna watu wenye cv ya kugombea urais mpaka tusubiri upande wa pili.Hii kali Viongozi wetu mnatuangusha kwahiyo angepita ccm tungemchukua nani au ndo tungeacha kabisa kuweka mgombea urais
Amesemea wapi?
Mbona tulishatangaziwa kuwa Dr.wilbroad Silaa alishaguliwa kuwa ndio mgombea wa chadema au anachukua form ya mke mwenza?
Wakati anakatwa Dodoma sisi tulikuwa tunashangilia wakati yeye alikuwa anasikitika hakujua kama Mungu alimuongoza Kikwete kumkata
Karibu uchukue form ya mgombea urais
Dr.#Slaa hana account yeyote twiter wahusika wenyewe #chademanews wameshakanusha ile account imeshafungikiwa endeleeni kuwa matumaini taarifa za uwongo....mbona alishatupia tweets za kutosha, nukuu moja ni hii."ukituhumiwa, ukajieleza na kutupa vielelezo visivyo na shaka vya nani hasa mwenye kosa tutakusikiliza, watanzania watakusikiliza" "wapo wana ccm ambao wamekuja kwetu kujieleza kuhusu tuhuma zao na vielelezo lukuki, Lowasa si wa kwanza wala wa mwisho kufanya hivyo"...mwisho wa kunukuu..
Shemeji nimekutafuta sana nisikie ka neno toka kwako kwema lakini.