LOWASSA kila akisimama Bungeni kuongea,BUNGE huzizima kwa Nderemo hii inashiria nini?

siipendi ccm ila wakimsimamisha lowasa 2015 kama mgombea uraisi basi kura yangu wamepata.nina imani lowasa ni bonge la kiongozi na anaweza kukemea na kukataza hata kufanya maamuzi magumu.nchi yetu kwasasa ilipofikia inahitaji viongozi wakali watendaji na wafuatiliaji.wengine wanaoweza kupata kura yng pale ccmagamba ni magufuli na mzee wa madawa!! Aka(mwakyembe) nje na hao mm ni cdm wala c mliberali

kuipigia kura ccm 2015 ni kama kujimaliza sisi wenyewe. Maamuzi magumu waliyochukua inatugharimu mabilioni ya shilingi kuyalipa mashirika yanayozalisha umeme kila mwezi...wazalishe wasizalishe wanalipwa kila mwezi. Hela yote hii ingeboresha sekta nyingine hasa elimu na afya. Mfumo mbaya wa maisha umesababishwa na ccm kwa sababu ni watz wachache sana wanaishi kwa mishahara yao hadi kufikia mwishio wa mwezi na matokeo yake ndio huko kufanya biashara haramu..madawa ya kulevya, nyara za serikali na rushwa kila kitengo! Mikataba ya kuiuza nchi kwa wachina!
Miaka mingine mitano chini ya ccm tutakwisha! Kumbukeni kuwa watu weupe wanaamini kuwa sisi hatustahili kuitwa binadamu so they want our land na sisi kushney!
 
Hii inaashiria kwamba watanzania wengi ni wajinga++++++ waliopata elimu ni wanafiki sana!
 
Kwenye falsafa ya kawaida, huwezi kuwa mwizi, fisadi na mtu usiyefuata taratibu na maadili ya uongozi halafu hapo hapo uonekane ni kiongozi bora! This is total contradiction. Lowassa hafai na kama anafaa, labda kwa mafisadi na wizi wenzake. Kiongozi bora ni yule anayetafutwa na kuomba kuwa kiongozi na si yule anayezunguka na kubembeleza kuwa kiongozi. We need a clean person si opportunist!!
 
This man deserve to be president,sio waropokaji km Sitta

Najaribu kuvuta picha kama ni rais na kuna haya malumbano kati ya Rwanda na Tanzania angechukua maamuzi gani?? Nakumbuka ile ishu ya maji kutoka ziwa Victoria kuja Shinyanga na kwingineko.....

I am afraid kwamba wishes may remain wishes...
 
Mimi si mfuasi wa Chama chochote na hakuna kinachonivutia kwa asilimia kubwa!
ILA....Ikitokea huyu Bwana akapenya na nikamkuta kwenye karatasi ya kura...Nampa MIA ya MIA!
Wakati mwingine tuwe na maamuzi magumu! Sasa kama si Lowasa unataka awe nani? Tumuombeea afya njema akae hapo hata five years tu!
 
Kwenye falsafa ya kawaida, huwezi kuwa mwizi, fisadi na mtu usiyefuata taratibu na maadili ya uongozi halafu hapo hapo uonekane ni kiongozi bora! This is total contradiction. Lowassa hafai na kama anafaa, labda kwa mafisadi na wizi wenzake. Kiongozi bora ni yule anayetafutwa na kuomba kuwa kiongozi na si yule anayezunguka na kubembeleza kuwa kiongozi. We need a clean person si opportunist!!
ngoja tusubiri comments za nape and co.
 
-PAXP-deijE.gif
-PAXP-deijE.gif
1170911_10151624795376795_1066737557_n.jpg
 
Anashangiliwa na Beatrice Shelukindo tu mbunge wa Hanadeni na aliwahi kwenda kwake (lowassa) huko monduli akala na chakula , huyu mwanamke ana kihelehele sana utafikiri mmewe hamtoshelezi[/QUOTE Una bifu binafsi na Beatrice Shelukindo nini? hoja inahusu wabunge bila kujali wametoka (Chadema, CCM, CCK, TLP, NCCR etc) vs Lowassa, ati wewe unajadili Shelukindo vs Lowassa. Kama hujitambui, umempaisha Betrice Shelukindo kwa kuonesha kwamba amebeba dhamana ya wabunge wote Bungeni.
 
sisi wantanzania tuna matatizo sana tena sana ya kufikiri, hivyo hii hali ya umaskini ktk kipindi hiki cha raisi wetu JK mnajua kimeletwa nani? au ni ushabiki tu usio na maana .lowassa atuongoze kwa lipi?mbona watanzia wavivu wakufikiri maubongo yetu yana matatizo gani?hivyo milioni 152 kwa siku zilizokuwa analipwa richmond kampuni hewa ya watotowake.mnajua kachukua nani? kwani lowassa ana umaskini gani .niwizi mkubwa yule hata mwalimu alimpiga chini .Watanzania tuwe makini sana na lowassa .hivyo mtu kama waziri wetu mkuu wa zamani mzee sumaye watanzania mnamuonaje? watanzania acheni ushabiki ,kuweni wazalendo wa kweli.
 
Mbunge wa Monduli na Waziri mkuu aliejiuzulu kwa kashfa ya Richmond Edward Lowassa ni miongoni mwa wabunge wachache ambao ni nadra sana kumsikia au kumuona akizungumza au kuchangia hoja bungeni.
Tangia kujiuzulu kuwa Waziri mkuu mwaka 2007 Mh Lowassa hajawahi kuchangia kwa kuongea hoja bungeni zaidi ya mara mbili.

Lowassa km tumjuavyo sio mtu muongeaji sana na hata hoja nyingi bungeni huchangia kwa maandishi,lakini amekuwa akiongea kwa kupitia media mbalimbali na ktk matamasha na harambee huku akijiita kuwa yeye sio mtu wa maneno ila ni wa vitendo.
Sijajua kwanini mh Lowassa hukwepa kuongea Bungeni lakini hupenda kuongea na waandishi wa habari. Km ktk kile kipindi cha Semenyu wa ITV kinachorushwa kila Jumatatu saa 3:00 usiku.

Tangia kujiuzulu kwa Mh Lowassa binafsi niliwahi kumsikia akiongea bungeni mara mbili. Na mara zote baada tu ya kusimama utasikia baadhi ya Wabunge wakimshangilia. Mara ya kwanza ni pale alipotoa kauli akiishauri serikali ichukuwe MAAMUZI MAGUMU.
Mara ya pili ni jana wakati akimuunga mkono waziri LUKUVI ktk hoja iliyoibuka baada ya Mbunge wa Cdm Susan Liymo kuuliza swali kuwa ni lini serikali itawaleta nchini wataalamu wa kutengeneza na kuzuia mvua nchini km ilivyoahidi?
Akijibu swali hilo waziri Huviza aliwataka wananchi wasidanganyike kwa kuwa hakuna mwarobaini wa kuzuia na kutengeneza mvua isipokuwa ni kutunza mazingira.

Kauli hiyo ilimfanya Lukuvi kusimama na kusema,ni kweli Waziri mkuu aliejiuzulu(Lowassa) aliwahi kufanya ziara nchini Thailand na sio Malesia km Waziri Huviza na Susan walivyodai.

Lukuvi alisema kuna utaalamu huo na Lowassa aliwaomba wataalamu hao waje kufundisha wataalamu wa Tanzania teknolojia hiyo lakini ilishindikana kutokana na Tanzania kutokuwa na fedha.
Hata hivyo Mwenyekiti wa bunge Jenister Muhagama aliwataka mawaziri hao kukutana kupata jibu sahihi maana wananchi hawajui nani anasema ukweli.

Wakati Muhagama akitoa maelekezo hayo ndipo aliposimama Mh LOWASSA na kusababisha Bunge kulipuka kwa shangwe. Lowassa alisema; "Alichokisema Waziri William Lukuvi ndicho sahihi" akamaliza na kukaa.

Kushangiliwa kwa Lowassa kila mara anaposimama kuzungumza bungeni je inaashiria nini? Au kwa kuwa sio kawaida yake kuzungumza kwa hiyo kila mbunge anataka kusikia atakachozungumza?

Inaashiriamajanga
 
Lowasa yeye personally sina tatizo naye kwenye management ondoa hiyo tabia yake ya udokozi. mimi kinachonifanya nimchukie Lowasa na nitamlaumu kwa maisha yangu yote ni kuandaa na kuusimamia mtandao huu wa kijinga uliotupatia serikali ya awamu ya nne. yani matatizo yote tunayopata sasa hivi watanzania ni kwa sababu ya Lowasa na mtandao wake wa kishenzi uliomuweka Kikwete madarakani.
 
Wabunge wakishangilia waangalie usoni... His ajenda zap, but Kuna wakati wanamzomea si kumshangilia. Mtoa mada anamliwaza maana hakuna mvua ya kushangiliwa.
 
Wote wanaomshangilia wamelipwa tayari....
duuu!!! hili nalo neno , wabunge wa CCM ni wanafiki , wanamtindo wa kufuata upepo labda lowasa akiwa raisi atachaguliwa, au atampa upendeleo fulani , na mungu si athumani nahisi lowasa atapata mshtuko wa kutochaguliwa hapo hapo CCM . maana wasira anakuja kimya kimya
 
kifungu alichoambiwa Adamu na Eva kinamtetea kisemacho: zaeni muongezeke mkaijaze nchi yote!!!

Kwani kumbe ni wanawake tu ndiyo wanaomshangilia? Basi kuna tatizo. Lakini hata anayemshangilia siyo mke wake kwa hiuo suala la kuzaa na kuongezeka halina sehemu hapa.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Shangilia hizo ni ishara kuwa PINDA hatoshi katika nafasi ya PM. Hivyo wabunge walio wengi wa upinzani, na wa chama tawala pamoja na wale wa mrengo wa kati (NCCR, TLP, CUF na UDP) wanaona ni heri ya Lowasa kuliko Pinda kiutendaji.
 
Back
Top Bottom