nijuavyo mm kujihudhuru sio sawa na kustaafu na mtu huyo hupoteza sifa ya kupata haki ambayo alitakiwa apate kama mstaafu...pengine mwenye uelewa na hili atusaidie hapa!Ndio analipwa kama Waziri Mstaafu kwani inasemwa kwamba alijiuzulu kuinusuru Serikali yake.
Ndio analipwa kama Waziri Mstaafu kwani inasemwa kwamba alijiudhuri kuinusuru Serikali yake.
talk about people, why don't we talk about ideas?
talk about people, why don't we talk about ideas?
Ndani ya CCM hakuna Wa kumweleza lolote hata kwenye magazeti hakuna Wa kuacha kumwita mstaafu.Tanzania ina maajabu kakaVyombo vya habar ikiwapo TBC, na baadhi ya TV programs zmekuwa znamnukuu EL kama waziri Mkuu mstaafu! Tujuavyo ni kwamba EL alijihudhuru tena kwa kashifa ya ufisadi.
Kwa jinsi ajulikanavyo kama mstaafu, huenda analipwa mafao kama waziri mkuu mstaafu?
Alipata ajali ya kisiasa tuu! analipwa kama kawa!