kelao
JF-Expert Member
- Sep 24, 2012
- 8,132
- 5,785
hapo ndo ujiulize madiwani wa ccm ni wengi lakini haipendwi Arusha.jibu nadhani unalo:wizi wa kura uchaguzi mkuu 2010.mimi sioni UGUMU wa kujivunia kwa Arusha kama Mwenyekiti wa Jiji anatoka CCM.Hii inaonyesha madiwani wengi ni wa ccm.X