Ningekuomba uandike vizuri maana habari ipo kimipasho zaidi.
lowassa kiboko yenu!!!!! mnaogopa hadi kivuli chake tu!!!!
Anamchukia sababu ya ukristo wake
Una matatizo we si mzima kabisa ni sawa na debeKwahiyo wewe na lowasa mnajua kuwa lowasa atakuwa rais?
Hangaikeni weee lakini sisi rais tushamjua
Yani wewe hujui kuwa ulikuwa unasikiliza mipasho kutoka kwa Mzee wa Mipasho?kutoka kwa mkulu mwenyewe, ameambiwa kuwa alikuwa wapi kutoa hela kabla anatoatoa hela sasaivi, ni rushwa tu hizo. Pia ameambiwa kwa kitendo alichosema ataingia vita na malawi, ni mlopokaji aliyetaka umaarufu wa kisiasa, hana lolote. Kapigwa vijembe kama kwenye kicheni pati. kutoka kwa jk mwenyewe. Sipati picha siku lowasa akiwa rais, kikwete na kikundi chake watakimbilia wapi.
kutoka kwa mkulu mwenyewe, ameambiwa kuwa alikuwa wapi kutoa hela kabla anatoatoa hela sasaivi, ni rushwa tu hizo. Pia ameambiwa kwa kitendo alichosema ataingia vita na malawi, ni mlopokaji aliyetaka umaarufu wa kisiasa, hana lolote.
Kapigwa vijembe kama kwenye kicheni pati. kutoka kwa jk mwenyewe. Sipati picha siku lowasa akiwa rais, kikwete na kikundi chake watakimbilia wapi.
Ningekuomba uandike vizuri maana habari ipo kimipasho zaidi.