OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 3,713
- 9,392
Tangu uchaguzi wa mwaka 2015 upite huu ni mwaka wa 6 sasa, wagombea wa nafasi ya urais walikuwa ni JP. Magufuli na E.Lowassa,
Swali langu je kama ingetokea Lowasa akashinda uchaguzi sera yake kuu ilikuwa ni kutoa elimu bure kwa wote mpaka chuo kikuu (ELIMU, ELIMU, ELIMU), kwa elimu yetu hii hii inayotolewa vyuoni je hii sera ingeweza vipi kuimarisha uchumi wa mtanzania mmoja mmoja?
Swali langu je kama ingetokea Lowasa akashinda uchaguzi sera yake kuu ilikuwa ni kutoa elimu bure kwa wote mpaka chuo kikuu (ELIMU, ELIMU, ELIMU), kwa elimu yetu hii hii inayotolewa vyuoni je hii sera ingeweza vipi kuimarisha uchumi wa mtanzania mmoja mmoja?