Madela Wa- Madilu
JF-Expert Member
- Mar 24, 2007
- 3,062
- 731
Kama nilivyosema kule KLH kwamba $152,000.00 au Tshs152,000,000.00 zinazo lipwa kila siku kwaajili ya umeme hewa ni mali ya SISIEMU kwa ajili ya Uchaguzi wa 2010.
Najua fika hawawezi kuingia BOT na kuunda Kagoda Agricultural nyingine,SISIEMU wanachota fedha za kampeni ya 2010 kupitia mradi hewa wa Richmond ambao sasa umechukuliwan na Dowan.
Lowassa anageuzwa shujaa mbele ya macho yetu ili njama zao za kutuibia mchana kweupe ziendelee.
Kwa nini apewe muda kwenye TV ya TAifa kujieleza?
Kwanini haendi channnel 10 akapigwe maswali ya unya unya?
Najua Lowassa ni msanii by Profession ndiyo maana sasa ameamua kucheza mchezo wa kuigiza kwenye TV ya Taifa lakini akisaidiwa na MH Jakaya mrisho Kikwete.
KWa mtaji huu nadhani sasa SISIEMU wanatubashia hadharani jambo ambalo hatukubali kabisa.Wanatuibia mamilion ya $$$ kila siku halafu wanatumia vyombo vya kitaifa kama TV na magazeti kujisafisha?
Yule mwimbaji wa Kenya aliimba Pesa ni maua lakini INAUA.
Naona MH Kikwete umejiweka maua ya Richmond ili Ujiue. Hongera.
Baada ya Lowassa kuongea utumbo wake kwenye hiyo TVT naamini kwa dhati kabisa kwamba heshima ya TV hiyo itashuka chini ya kiwango kikubwa.
Mzee Mwanakijiji nakumbuka ulielezea kuhusu Agenda 21.
Bila shaka utekelezaji wa makubaliano haramu ndani ya Agennda 21 ndiyo umekwisha anza kwa Lowassa kupewa wasaa wa kujieleza katika TV ya Taifa na mamilioni kumwagwa kwenye vyombo vya habari kama TV na magazeti.
Hivi ninyi SISIEMU hamjiulizi kwamba kwa nini Joseph Mobuto Seseko Kuku Wa Zabanga akiwa hai aliikimbia Congo na katika ufu wake mabaki ya mwili wake yamezikwa Morocco pamoja na ukweli kwamba alikuwa na fedha kuliko fedha walizo kuwa nazo wacongo wote kwa pamoja, kwa sababu pato lote la kila siku la serikali ya Congo lilikua likiingia kwenye personal accont yake????
Mobuto na Mifedha yake yuko wapi???
Wanae wako wapi??
Wajomba zake wako wapi??
Rafiki zake wako wapi??
Nani yuko nyuma ya Agenda 21?
Hisia zangu zinanielezea wazi kwamba Persident Jakaya Mrisho Kikwete yumo ndani ya Timu hiyo ya Agenda 21.
Agenda 21 ni lazima kiwe kikundi cha kiharamia kinacho taka kutajirika kwa hila zozote zile ili kianzishe utawala wa kimatabaka unaongozwa na wezi wakubwa wa mkoa wa Arusha kama akina Nyari na viongozi lukuki ndani ya idara za serikali na mashirika ya umma wanaiba na kuuza ardhi ya Tanzania kwa wageni ili kukidhi hamu yao ya Kishetani.
Agenda 21 ni Mafia au Yakuza ya Tanzania na mimi nikiwa Mtanzania na mmoja wa wanachama wa JF sitakubali mtandao huo wa Kiharamia Uchukue nchi. Zaidi siko tayari kuongozwa na maharamia.
Nadhani kuna wakati itabidi tuchukue hatua moja mbele zaidi ya hapa na kuwaonyesha Mahabithi hawa kwamba fedha zao ni bure mbele ya mikakati ya wananchi.
Kuna siku tutawanyonga hadi mfe kwa udenda utokao midomoni mwenu kwa tamaa ya utajiri na mamlaka.
Who are in Agenda 21???
Huu ni wakati wa kujenga mkakati wa nguvu kabisa wa kuiondoa SISIEMU madarakani once and for all. SISIEMU wamechoka kukalia kiti nadhani matako yao yanawauma kwa unene utokanao na kufakamia rushwa na hela za wizi.
Lowassa anarudi kwenye safu na kuoshwa kwa sabuni ya mshindi!
Hii itafanya kambi nzima ya SISIEMU ijipakaze na kunuka.
Waheshimiwa wa SISIEMU,Dhambi hii ya pili ya kuruhusu Haramia na Mwizi mkubwa Lowassa aitwe shujaa itawagaharimu uhai wenu kidogo mliobakiwa nao kisiasa.
Kwa tabia yenu ya dharau mtaziba masikio yenu na kuendelea na ratiba kana kwamba kila kitu ni shwari lakini muda ukifika kila mtu atachukua junia lake la dhambi na kuelekea ahela.
SAA YA UKOMBOZI NI SASA
Najua fika hawawezi kuingia BOT na kuunda Kagoda Agricultural nyingine,SISIEMU wanachota fedha za kampeni ya 2010 kupitia mradi hewa wa Richmond ambao sasa umechukuliwan na Dowan.
Lowassa anageuzwa shujaa mbele ya macho yetu ili njama zao za kutuibia mchana kweupe ziendelee.
Kwa nini apewe muda kwenye TV ya TAifa kujieleza?
Kwanini haendi channnel 10 akapigwe maswali ya unya unya?
Najua Lowassa ni msanii by Profession ndiyo maana sasa ameamua kucheza mchezo wa kuigiza kwenye TV ya Taifa lakini akisaidiwa na MH Jakaya mrisho Kikwete.
KWa mtaji huu nadhani sasa SISIEMU wanatubashia hadharani jambo ambalo hatukubali kabisa.Wanatuibia mamilion ya $$$ kila siku halafu wanatumia vyombo vya kitaifa kama TV na magazeti kujisafisha?
Yule mwimbaji wa Kenya aliimba Pesa ni maua lakini INAUA.
Naona MH Kikwete umejiweka maua ya Richmond ili Ujiue. Hongera.
Baada ya Lowassa kuongea utumbo wake kwenye hiyo TVT naamini kwa dhati kabisa kwamba heshima ya TV hiyo itashuka chini ya kiwango kikubwa.
Mzee Mwanakijiji nakumbuka ulielezea kuhusu Agenda 21.
Bila shaka utekelezaji wa makubaliano haramu ndani ya Agennda 21 ndiyo umekwisha anza kwa Lowassa kupewa wasaa wa kujieleza katika TV ya Taifa na mamilioni kumwagwa kwenye vyombo vya habari kama TV na magazeti.
Hivi ninyi SISIEMU hamjiulizi kwamba kwa nini Joseph Mobuto Seseko Kuku Wa Zabanga akiwa hai aliikimbia Congo na katika ufu wake mabaki ya mwili wake yamezikwa Morocco pamoja na ukweli kwamba alikuwa na fedha kuliko fedha walizo kuwa nazo wacongo wote kwa pamoja, kwa sababu pato lote la kila siku la serikali ya Congo lilikua likiingia kwenye personal accont yake????
Mobuto na Mifedha yake yuko wapi???
Wanae wako wapi??
Wajomba zake wako wapi??
Rafiki zake wako wapi??
Nani yuko nyuma ya Agenda 21?
Hisia zangu zinanielezea wazi kwamba Persident Jakaya Mrisho Kikwete yumo ndani ya Timu hiyo ya Agenda 21.
Agenda 21 ni lazima kiwe kikundi cha kiharamia kinacho taka kutajirika kwa hila zozote zile ili kianzishe utawala wa kimatabaka unaongozwa na wezi wakubwa wa mkoa wa Arusha kama akina Nyari na viongozi lukuki ndani ya idara za serikali na mashirika ya umma wanaiba na kuuza ardhi ya Tanzania kwa wageni ili kukidhi hamu yao ya Kishetani.
Agenda 21 ni Mafia au Yakuza ya Tanzania na mimi nikiwa Mtanzania na mmoja wa wanachama wa JF sitakubali mtandao huo wa Kiharamia Uchukue nchi. Zaidi siko tayari kuongozwa na maharamia.
Nadhani kuna wakati itabidi tuchukue hatua moja mbele zaidi ya hapa na kuwaonyesha Mahabithi hawa kwamba fedha zao ni bure mbele ya mikakati ya wananchi.
Kuna siku tutawanyonga hadi mfe kwa udenda utokao midomoni mwenu kwa tamaa ya utajiri na mamlaka.
Who are in Agenda 21???
Huu ni wakati wa kujenga mkakati wa nguvu kabisa wa kuiondoa SISIEMU madarakani once and for all. SISIEMU wamechoka kukalia kiti nadhani matako yao yanawauma kwa unene utokanao na kufakamia rushwa na hela za wizi.
Lowassa anarudi kwenye safu na kuoshwa kwa sabuni ya mshindi!
Hii itafanya kambi nzima ya SISIEMU ijipakaze na kunuka.
Waheshimiwa wa SISIEMU,Dhambi hii ya pili ya kuruhusu Haramia na Mwizi mkubwa Lowassa aitwe shujaa itawagaharimu uhai wenu kidogo mliobakiwa nao kisiasa.
Kwa tabia yenu ya dharau mtaziba masikio yenu na kuendelea na ratiba kana kwamba kila kitu ni shwari lakini muda ukifika kila mtu atachukua junia lake la dhambi na kuelekea ahela.
SAA YA UKOMBOZI NI SASA