Muyobhyo
JF-Expert Member
- Oct 9, 2014
- 8,149
- 6,535
Mkuu,
Wewe ulitaka awambie nini? Wewe ni mmoja wa wale wamezoea siasa za kilaghai!
Ulitaka awaambie atawapa usafiri wa bure?
Fikra zako zinaonyesha Ukweli siku hizi umekuwa ni sumu ya kisiasa nchini.
Tanzania ya sasa inahitaji wanasiasa wanaosema ukweli hata kama unauma kifikra.
ila lile halikuwa jibu kwa wananchi, watu wa kigamboni na nje ya kigamboni liliwauma sana, kiongozi hutakiwi kutoa jibu lile, anaenda omba kura kwani kampeni tayari,