Mtu mwenyewe kingereza kinapiga chenga kama Nuhu Mziwanda
wabongo bwana , hivi wenyeakili zetu tunaanzaanzaje kuchagua CCM B wakati CCM A ipo ?????mfyuuuu mtajitia moyo sanaaa na huyo mutu yenu .....Big up Lipumba / Dr Slaaa heshima zenu wakuu ! Nyie ndio mnenirudisha CCM A :ranger:
Wallahi nakuambia. CHADEMA nzima hakuna anayeweza hata kusema good morning
Wadau ni wazi kwamba Magufuli amekata tamaa ya kuingia ikulu kutokana na upinzani mkali ulioko mbele yake. Pia anajutia nafasi aliopewa kugombea urais mwaka mgumu kuliko miaka yote ya uchaguzi iliyopita. Anahofu chama kufia mikononi mwake. Amekata tamaa kwa kweli, anaomba mungu kikombe hiki kimuepuke lakini haiwezekani. Amekonda kwa hizi wiki 2 tu, sijui mpaka october atakuwa na hali gani. Anahisi bado JK ana kisasi nae mpaka kumteua kugombea uraisi huku akijua CCM haiwezi kupita. Ni kama vile JK amemtwisha gunia la lawama. Lile nyomi la lowasa la jana limemnyima usingizi kabisa. Na mimi nasema na akate tu tamaa kwa sababu hakuna namna nyingine.
Na badoooView attachment 275301
Wallahi nakuambia. CHADEMA nzima hakuna anayeweza hata kusema good morning
Rudi tu maana huku wanabaki wanaojielewa tuwabongo bwana , hivi wenyeakili zetu tunaanzaanzaje kuchagua CCM B wakati CCM A ipo ?????mfyuuuu mtajitia moyo sanaaa na huyo mutu yenu .....Big up Lipumba / Dr Slaaa heshima zenu wakuu ! Nyie ndio mnenirudisha CCM A :ranger: