Wakuu mambo yanazidi kunoga noga kama chachandu,Lowasa ndio katia timu ukawa na lazima atakua mgombea urais wa ukawa na kwa jinsi huyu jamaa anavyopendwa na watu wallah CCM lazima wakae chini.
Lowasa ana nyota kali sana nadhani mpaka sasa CCM wanajuta sana,magufuli ni mzuri hatukatai lakini hana nguvu ya kupendwa kama Lowassa.
SWALI ikitokea lowasa kashinda uchaguzi na kuwa rais, tutegemee ni kitu gani kitakachotokea ndani ya CCM?
Lowasa ana nyota kali sana nadhani mpaka sasa CCM wanajuta sana,magufuli ni mzuri hatukatai lakini hana nguvu ya kupendwa kama Lowassa.
SWALI ikitokea lowasa kashinda uchaguzi na kuwa rais, tutegemee ni kitu gani kitakachotokea ndani ya CCM?