Mchochezi
JF-Expert Member
- Feb 29, 2012
- 10,416
- 6,579
😂😂😂 kutoka maktabaNape ni mtu niliyemwaminia sana CCM kuwa ni asset kubwa yenye very bright futute, alipoanza kupuliza vuvuzela la kujivua gamba, kuna kitu nilimweleza humu humu jf, sasa kimetimia!.
Masikini Nape sio asset tena, ni liability!.