EasyFit
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 1,269
- 1,082
Hivi na wewe utaitwa great thinker au sink.Ha! Ha! Ha! Ha! Lowasaaaaah! Ha! Ha! Ha! Hillarious! Ha! Ha! - Mutuz Le Baharia Big Show!
Hivi na wewe utaitwa great thinker au sink.Ha! Ha! Ha! Ha! Lowasaaaaah! Ha! Ha! Ha! Hillarious! Ha! Ha! - Mutuz Le Baharia Big Show!
Ntasema zero.... Haya na wewe je?Post ya Pasco hii hapa chini sijui hata kama inaelekea ulivyomuuliza mambo ya percentage, hivi wewe tukikuuliza una percentage ngapi ya kuuawa utatuambiaje.
Tujuze basi huo mfumo wa ccm,mwenyekiti wake taifa anachaguliwaje?
Mia kwa hiyo umeridhika.Ntasema zero.... Haya na wewe je?
"Hii habari inawezekana kuwa kweli maana ugomvi wa EL na JK uko live kwa sasa na lazima mmoja apungue kwenye siasa kabla ya uchaguzi mkuu wa CCM mwakani. Unajua EL ana mtandao mkubwa wa wenyeviti wa CCM mikoani na anaweza kumshinda JK kwenye uenyekiti wa taifa which means baba Riz anaweza kutemeshwa kitumbua cha pale magogoni. Kikawaida hawezi kukubali hilo litokee akiwa anaangalia tu."
Sizungumzii mfumo mkuu bali nazungumzia hali halisi iliyo ndani ya CCM. We tuelezee mfumo wao wa uchaguzi labda nimekosea mwaka wa uchaguzi but waulize wakuu wa CCM watakwambia kuwa EL ana nguvu sana kwenye chama na ndio maana hata kumvua gamab juzi wameshindwa. Mkapa aliliona hilo na ndio maana akamwambia JK funga hiyo hoja watu wasiendelee kuichangia maana aliona JK anavuliwa nguo na watu walishaandaa hoja ya kumvua uenyekiti kama ilivyokuwa kwa Thabo Mbeki wa South na issue ya Zuma.
Kumbuka JK ni mzee wa visasi, kama aliamua kuwa mpole pale Dodoma, uandhani ataendelea kuwa mpole daima? EL ametoka dodoma ameenda kujitangazia ushindi kwenye harambee za makanisa huko Singida. Bado tu huoni kuwa hali ya JK na EL ni tete??
Sina haja ya kubuni tuhuma lakini kwa kuwa wote tuna macho basi tusubiri tuone mwisho wa issue ya magamba utakuwaae. Kama EL akibaki na nguvu zake sioni JK akibaki kuwa M/Kiti wa CCM na sioni hilo likitokea kwa JK kukubali adhalilishwe akiwa madarakani. Sijui mwenzangu mfumo wako wa ucahguzi wa CCM unakwambiaje. Jipime na huo mfumo uone kama utapata majibu sahihi.
Mia kwa hiyo umeridhika.
Ndani ya CCM huwa hakuna kupoteza sifa ikipotea inanunuliwa.Ili uelewe zaidi tafuta katiba ya CCM (105). Na kwa maelekezo ya katiba ya CCM EL ameshapoteza sifa za kuwa Mwenyekiti.
Anatakiwa Mtu wa kusimama na kutoa Tafsiri fasaha ya katiba Katika kipind na Wakati Mwafaka and that will be THE END of Lowasa in Politics.
chanzo cha habari hii ni gazeti la Dira ya Mtanzania, inadai CCM wananjama za kummua Lowasa
walidokezewa na Fred Lowasa, mtoto wa mjini huyu(itakuwa kweli)
mzee wa visasi,ama wafuasi wake wamekerwa na kuvuliwa nguo na E.L kuhusu Richmond
aidha Katibu Mwenezi wa ccm(Nape) amekanusha akidai chama chao hakijawahi na hakitafanya hilo
pia amesisitiza TISS haipo chini ya ccm, hivyo hawana mandate ya kutoa order hata kama wangekua waovu
Naaw mkuu! BTW how is it i lost wisdom, naomba unieleweshe na mimi ntakupa ma position and also ku explain more and hoping you'll understand...mushi yamekua hayo tena swahiba? Mbona ikija issue ya el tunapoteza kabisa wisdom?
MTM hapa ndipo ile kauli ya politics is a dirty game inapo apply, kwenye siasa hakuna permanent friends, wala permanent enemies, there is only common interest!.thanks pasco, kwa weledi na upeo wako, we unadhani likelihood ya hilo kutokea yaweza kwenda percentage gani?
nadhani jibu hili pia utalizingatia, kwani inakijua kilichomuua, Karume, Sokoine, Kulimba, Kombe, Mbatia etc and list goes onMkuu let me be clear
ukisoma post ya pasco amepost kama vile tayari anajua likelihood ya jamaa kuuwawa au la, and that ahs been our weakness as JF members we usually throw some tokens of ideas and runa away from them when asked to justify... unaporejea post ya pasco na jitahidi sana kunielewa natafuta nini
it would have been easier kusema hivi: nijuavyo mimi uwezekano wa kuuwawa lowassa upo au haupo na ni xxx.
Personally sidhani kama Lowassa kwa tentacles alizonazo anahaja ya kutmia mwanawe kusema anataka kuuwawa this is not possible unless gazeti limemkopi vibaya au ni siasa uchwara
kama ni wa kuuwawa angeshajua kwani yeye ni mmoja wao
we just want to prolong uzushi wa wanasiasa.....
SIONI HAJA WALA ULAZIMA WA KUMUUA EL
MTM hapa ndipo ile kauli ya politics is a dirty game inapo apply, kwenye siasa hakuna permanent friends, wala permanent enemies, there is only common interest!.
Kwa vile Lowassa alikubali kulibeba lile zigo la Richmond ili kuwasibia watu fulani aibu ya mwaka, sasa amegadhibika sana baada ya hao hao aliwafichia aibu zao, kuvituma vitoto vidogo vijinga vijinga kuzunguka nchi nzima huku vikipuliza vuvuzela za kujivua gamba na kutamba vimetumwa wakati ukweli ni kuwa hao wanaodaiwa kuvituma hivi vitoto ndio wenye richmond halisi!.
Kwa hali kama hii, hao jamaa watakuwa wanammnonitor EL 24/7 ili kujiridhisha hatasema ukweli, wakijiridhisha kuwa atakaa kimya kama alivyonyamaza mwanzo, then he is safe!, akiendelea kupayuka payuka, mwisho wa siku atausema ukweli halisi, sasa kuliko ukweli kujulikana, wanaweza kuamua kumpotezea kabla!
Mkuu Herieely asante kwa hii, natumain MTM umensoma huyu jamaa!.Gazeti lililotoa habari hiyo ni Dira ya mtanzania.
Habari hizo si za kuupuuzia kwani lolote linaweza kutokea, na haya ni baadhi ya mambo muhimu ya kukumbuka au kuzingatia:
1. Mtoto wa Lowassa ni mtu muhimu sana katika harakati nzima za maisha binafsi & kisiasa ya Lowassa, Hicho alichokisema ndio kauli isiyo rasmi ya Lowasa. Hivyo kuna haja ya vyombo husika kumhoji au kufuatilia zaidi.
2. Ni ukweli usiofichika kuwa usalama wa taifa pia imehusika na matukio ya kutengeneza ya vifo vya viongozi mbalimbali hasa kama viongozi hao wanasiri ambazo wanaweza kuzitoa na kuhatarisha usalama wa taifa (mtu yoyote aliyewahi kufanyakazi na idara hii atakwambia hili)
3. Kwa Lowassa hili linaweza kutokea saa yoyote, kwani alichokiongea ndani ya CC ni kitu kikubwa sana,na kama atatakiwa kuutoa ushahidi kisheria,maana yake nchi lazima itayumba,kwani mkuu hatapona.
4. Viongozi ndani ya CCM hawaaminiani kabisa kila mtu anamtafuta mwenzie ammalize kabisa (Hili JK aliwahi kulisema pia ndani ya vikao vya chama)
Asante sana Mkuu Mzee Mwanakijiji, now we sail the same boat, kazi ya kwanza ni kumshawishi Lowassa alitue hilo zigo la ... lililomchafua na kumfanya anuke hadi wengine humu ukiwemo wewe kuamini kuwa hasafishiki!.Ooh Boy.. nadhani tumuunge mkono Lowassa awe chaguo la CCM ili yaishe.