akiliza kilumumba hizi jibu hoja sio kumuattack mtoa hojaachane kuwa kama mimbwa koko
siasa za kizamm hzo
akiliza kilumumba hizi jibu hoja sio kumuattack mtoa hoja
Akileta tabia za kina anti Ezekiel kwanini asiambiwe
ACHENI KUKURUPUKA, JIBUNI HOJA,KUMSAIDIA LOWASA . KIONGOZI HATETEWI,ANAJIBU HOJA, HAYUPO JF,BUT ANAJIBIWA HOJA ZAKE,KAMA UKIONA WAFUASI WAKE WANASHINDWA KUMTETEA KWA HOJA UJUE HATA YEYE HATAWEZA KUJIBU HOJA ,it mens hasafishiki.
Akileta tabia za kina anti Ezekiel kwanini asiambiwe
ivi mradi wa maji kutoka ziwa victoria kapigania kafulila acheni kufananisha wapiga kelele na wafanyakazi.nashindwa kuelewa upinzani wa tz wao ni kelele na kujisifu alafu kwa nafasi ya mtu kama lowasa hawezi kupiga majungu yeye ni mtendaji vp suala wahindi wa citywater dar alipigania kafulila. Mwanaume ukiwa ukiwa una kiherehere haipendezi,hasafishiki my aaaaassssssssssssssssss acheni woga nyie ukawa oktoba sio mbali mafuriko yanakujaacheni kukurupuka, jibuni hoja,kumsaidia lowasa . Kiongozi hatetewi,anajibu hoja, hayupo jf,but anajibiwa hoja zake,kama ukiona wafuasi wake wanashindwa kumtetea kwa hoja ujue hata yeye hataweza kujibu hoja ,it mens hasafishiki.
Labda anamuonga dada yakoSawa Lowasa anagawa hela lakini kuna kitu ingine anawafanya nyi watu si bure!