mkweli1961
Senior Member
- Nov 9, 2010
- 148
- 44
:scared:Wadau mnalionaje hili kwamba chama kipya cha siasa ADC huenda kina uhusiano na LOWASA kama maandalizi ya kugombea uraisi mwaka 2015 kama CCM itaamua kumtosa kwenye kinyang'anyiro. Anafahamu kwamba CHADEMA ni tishio ndio maana hata bendera yao inafanana naya CHADEMA. Huenda LOWASA akagombea kwa ticket ya ADC huku bara na Rashidi ambaye amefukuzwa CUF kugombea kwa upande wa Zanzibar. Tusuburi tuone.:mullet: